Star South African 800m athlete Caster Semenya held her traditional wedding ceremony over the weekend.
According to the SA Fame Awards Facebook page, which forms part of Limpopo Media, Semenya...
Hadi sasa bado nipo sahihi nimetabiri timu tatu haziwez pita UEFA 16 bora Wana JF tuwe waelewa kuna kupita na kufika mimi nimesema timu 3 haziwez pita 16 bora Na timu zilizofika 16 bora ni...
tumempata mzee wa bao la mkono furaha ilioje wapinzani wajiandae na maumivu ya magoli ya mkono tunaanza na chad
Uteuzi wa Nape kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii umepokewa kwa...
Habari wakuu,
Baada ya kipindi kirefu kidogo, ligi kuu Tanzania bara inarejea na mechi yenye hamasa zaidi leo ni kati ya Azam FC na Simba SC wakiendeleza vita ya kugombania ubingwa. Azam anaingia...
Kwanza nianze na kushukuru sana kwa kazi inayofanywa na Radio na TV ya Clouds ya kutuhabarisha matukio mbalimbali ya michezo duniani.
Nimeona Kazi ya Shafii Dauda kuwa ni nzuri sana. Amekuwa...
Mabingwa wa soka wa Tanzania Dar Young Africans wamepangiwa kucheza na timu ya Cerce De Joachim ya Mauritius katika mechi ya kwanza itakochezwa nchini Mauritius
Mshindi wa pambano la yanga...
Mpira wetu, kabumbu, soccer la Tanzania linachungulia kaburi kwa sababu zifuatazo
1. Kwa muda mrefu tumeshauriwa kuendesha vilabu vyetu hasa vikubwa vya Simba na Yanga kibiashara tumekuwa wagumu...
Shujaas drew with England 19 - 19 , went on to beat SA in cape Town - the first team to beat SA in Capetown and then thrashed Zimbabwe 36 nothing. They move to quarters. Hongera shujaas on this...
Mimi ni mpenzi wa mieleka sana ya Kimarekekani hasa WWE na TNA. Ni mpenzi wa wana mieleka John Cena, Roman Reign, The Undertaker na Dean Ambrose wa kule WWE na Bob Lashley wa TNA.
Kuna mdau...
Ukija kwenye vilabu vyetu ni kucheza kwa madoido tu
Ukirudi timu ya taifa ni kucheza kiduku swaga tu
Hakuna mpira bali ni maigizo tu
Yaani ni sawa na mgonjwa anaekaribia kufa hukupa matumaini kua...
Tanzania tumekuwa na kasumba ya kutokuamini wachezaji wetu wanaocheza nje tunawachezaji wengi japo sio sana wanaocheza nje lakini atuwatumii.
Mfano Hamisi Mroki huyu alikuwa timu ya taifa ya...
Rais wa Mauritania, Ould Abdel Aziz ameagiza mechi ya fainali ya michuano ya Super Cup ya nchini humo kuingia katika penati ikiwa katika dakika ya 63.
Inasemekana rais huyo alitoa kali hiyo ya...
Leo asrene wenger ameonyesha kuwa ni kocha bora hasa baada ya kufanya maajabu makubwa ya kuingia last 16 round kwa miaka 16 mfululizo.arsenal inamajeruhi wengi lakini wamefanya vitu adimu kwa...
╮┅━━━━━━━━━━━━━┅╭
♔ ➯World Sport Group...
📌..Mechi za Leo.📌
📆 9 Dec 2015 ..
🎲..UCL Leo 🎲
Leverkusen ? Barcelona
⌚ 10:45 Mecca ..
📺 ABN Sport HD1 ..
🎤 Essam Shawal ...
Kuna picha zinasambaa/zimesambaa kwenye magroup mengi ya whatssap zikimuonyesha CR7 akiwa kabebwa kimahaba na bondia wa MOROCO (ngumi na mateke) na nyingine wananyonyana ndimi na kushikana sehemu...