Kwelii inaumiza sana namagoli aliyokuwa anafunga UK Leo hiianaiishia kukumbatia wanaofunga huko fc barca jamani jamani inaumiza sana!!najiuliza no Amepigwa msumari aka???
Wakuu,
Kama mnavyojua leo tunaanza ile kalinyekalinye wa kuwacheki miamba wa soka Ulaya, sasa wale wakali 11 BEST wamewekwa hadharani - Angalia kama timu yako imetoa walau mmoja tu. Huku vinara...
Jana hadi naondoka ukumbi wa PTA Sabasaba nilikua sijaamini jinsi ngumi za TZ zilivyo, bado zinaendeshwa kienyeji na kimasikini sana!
Kulikuwa na vituko viingi mno, kwa ufupi nilikua very...
Jamani kama mnavojua leo ni UEFA Champions League tulio wengi tunapenda mechi za Ulaya tatizo DStv hatuna na gharama kubwa kulipia.
Mwenye kujua websites yenye kuonyesha live mpira msaada...
Mechi hii si ya kuikosa ila naomba wazalendo wote tuitakie heri Azam na tuendelee kujuzana yanayojiri hapa
===========
Kikosi kilichowakilisha Azam FC
1. AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3...
Pilikapilika za mjumuiko wa wachezaji nyota wa ligi ya kikapu nchini Marekani NBA zinaanza alhamisi tarehe 12 hadi jumapili 15 ya mwezi huu Februari.
Kwa sisi wapenzi wa mpira wa kikapu na ligi...
YANGA imedai kwamba iligoma kuuza haki za matangazo ya Televisheni za mechi yao na BDF XI ya Botswana kwa vile Azam
TV haikufika dau.
Katibu wa Yanga, Jonas Tiboroha, ameweka wazi kwamba mechi...
Mechi za kombe la shirikisho barani Afrika kwa ngazi ya vilabu zinaanza mwishoni mwa wiki hii.
Wawakilishi wa Tanzania Bara Young Africans SC watakuwa nyumbani wakimenyana na BDF XI kutoka...
Sina mengi zaidi ya kuwapongeza. Nyinyi ni kioo cha mkoa wetu wa Ruvuma kimichezo hasa kandanda. Majimaji mmepambana vya kutosha hatimaye mmerejea Ligi Kuu. Tunatarajia ushindani katika mapambano...
Timu ya Toto African ya jijini Mwanza imerejea rasmi katika ligi kuu ya Tanzania Bara baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora katika mchezo wa mwisho wakundi B...
Tumekuwa tukiuziwa tkt za 5000. Kwa 8000-10'000. Naona hilitatizo limeisha!
Ila leo kidogo imekuwa kinyume, nimelipa 5000. Nilipokaribia getini nikasoma imeandikwa 6000!!dini yangu airuhusu...