Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mshambuliaji matata wa Barcelona Lionel Messi ameibua tetesi za kuondoka Camp Nou baada ya kuanza kufuata ukurasa wa Chelsea katika mtandao wa Instagram.Tetesi za uwezekano wa mchezaji mashuhuri...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
mwanasheria wa yanga anadai kuwa kaseja okwi na jaja kuwashitaki fifa sasa kumshtaka jaja ni vichekesho wapenzi mashabiki mmemzomea jaja mpaka akaona kucheza yanga ni dhahama mbrazili kaamua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa wale wadau wanaotumia dstv naombeni mnijuze..hv kile kifurushi cha bomba zile super sport selct 1 na 2 zinaonesha game za england live au ni marudio tu.
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Bale was jeered by some home supporters in the second half for failing to find Ronaldo with a pass Read more: Real Madrid 3-0 Espanyol: Gareth Bale stars to get 10-men Los Blancos back in...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
kwa jinsi ninavyo ona man u hata top ten haitahusika maana tim imefanya usajili usio na mipango. Tim ile ilikua na mapungufu ya ulinzi na midfield sasa wamesajili falcao na di maria kwa mihela...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Okwi amepeleka malalamiko TFF ya kuidai Yanga USD 62,000 [zaidi ya 107m]. Mchangunuo wa huo mkwanja ni kuwa hakulipwa USD 50,000 ambazo ni ada ya usajili na USD 12,000 ambazo ni kama mshahara...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Naona safariya huyu binti was kigoni aka moholanzi kuwadia soon. Ndugu mjitayarishe kwalolote soon
1 Reactions
0 Replies
896 Views
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa tangu aanze kufundisha soka miaka 19 iliyopita, hajawahi kushuhudia kitendo cha kishirikina katika soka kama ilivyotokea hivi karibuni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Junior Malanda mchezaji wa Wolfsburg na timu ya taifa ya Belgium amekufa kwa ajali huko nchini ujeruman. Malanda kwenye miaka 21 ameichezea Wolfsburg mechi 19 mbili kati ya hizi dhidi ya Evaton...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kupangwa kundi dhaifu na kuanza tambo za kuitaka Simba SC jana usiku wamepewa mdogo wake Simba SC wakiwa na jezi kama za Mnyama wamechezea. Kimoja tu kimewachanganya wamekaa jangwani...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mechi ya Kwanza Itapigwa Hivi Punde Kati ya KCCA na Polisi Zanzibar Mechi Kali ya Pili Itakua Kati ya Azam na Mtibwa Sugar Yanga na JKU iTapigwa Saa 2.15 Usiku Stay Tuned with Mkolaji; Makoye...
0 Reactions
295 Replies
28K Views
Lionel Messi, Cristiano Ronaldo and Manuel Neuer have been named on a three-man shortlist for the FIFA Ballon d’Or 2014. Messi, winner on four occasions, led Argentina to the World Cup final...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Tunawaomba wanamichezo mtuwekee habari za michezo kila siku.tujuze kuhusu usajili na mambo mengine mengi ya michezo tafadhali.ususan football.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Klabu ya Yanga imetangaza rasmi kuachana na Golikipa wake Juma Kaseja kuanzia leo baada ya kuwepo kwa hali ya kutoelewana baina ya kipa huyo na uongozi wa klabu. Mkuu wa Idara ya Habari na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ameongea Hayatou,wameperform Owavumi na pia Diamond kutoka Tanzania UPDATES zinafuata chini kwenye comments National team of the year- ALGERIA National women team- NIGERIA Club bora ya mwaka-...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Tukibadilisha kwa pesa za kwetu tunaongelea zaidi ya Nusu Trilioni.......kweli pesa inaongea, haya £200 milioni imetolewa dau la Chelsea kwa Messi
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mechi Itachezwa Saa Mbili na Robo (2;15 saa za AM) Usiku wa Leo JUMATANO (7/01/2015) kwenye Uwanja wa Amaan Mkolaj na Makoye watawaletea yanayojiri (Live Updates) kwenye mechi hiyo kwa sasa...
0 Reactions
272 Replies
28K Views
Yanga vs JKU update Yanga 0 JKU 0 dakika ya 2
0 Reactions
14 Replies
4K Views
wakuu nisaidieni wanaojua.hv kifurushi cha dstv bomba cha 17,000TSH. vinahitaji dishi lake na decoder yake au vifaa ni vile vile inatofautiana kwenye kulipa tu???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uongozi wa Yanga umemtema rasmi na kumtakia kila la kheri aendako!'Kwa kuwa hatudai,tumeona ni vema kumuachia aende aendako... Aah ni story ya kusikitisha !yupo aliyepoteza,yupo aliye benefit..!
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…