Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa Tibaigana na kamati yake kwa mara nyingine eti ameirudishia yanga Point zake tatu ambazo walikuwa wamepokwa juzi kwa kumchezesha Canavaro. kama kweli basi nitaachana...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
unapozungumzia mchezo wa Soka basi kwa namna moja ama nyengine hutaacha kuitaja klabu ya soka ya AC Milan kuwa ndio timu ama Baba wa soka ulimwenguni. Milan ni timu ya kila Siku, utawala wa...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Soka la Tz limekuwa halipandi kwa sababu za kuingiza siasa za Uyanga na Usimba katika mechi za kitaifa na kimataifa. Ninachoomba kwa sakata hili la Yanga kuhusiana na adhabu walizopewa, Yanga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Marselle vs bayern munich APOL vs real madrid benfica vs chelsea ac milan vs barcelona semi final marsell or munich vs apol or madrid benifica or chelsea vs milan or barca final...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Jamani mbona kimya,Tutaarifiane kuhusu rufaa ya wachezaji wa Yanga,au shaffi bado hajapewa matokeo? Tehe! Tehe!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenye kujua wapi naweza pata meza (na vifaa vinginie pia) vya mchezo huo hapa Dar tafadhali saidia. Kama utweza pata na bei pia itakuwa vizuri zaidi. Thanks in advance.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amakweli clouds wanazidi kujionesha wana maslahi na simba.Nilimsikia kibonde akifanya kampeni kwenye kipindi chao cha jahazi cha jana waliacha kuzungumzia maswala ya kijamii kama kawaida yao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Barca 1-Milan 0
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mabingwa watetezi wa kabumbu nchini Dar Y.A. leo/jana (samahani, sina hakika na saa yangu) walikuwa wageni wa Coastal Union huko ugosini ambapo muda wa mchezo uliisha kwa mabingwa hao watetezi...
2 Reactions
73 Replies
8K Views
hatimaye dk za lala salama blackburn amekubali kuipa manutd point 3 muhimu!game lilikuwa gumu sana,vijana wa ot,leo hawakuwa mchezoni kabisa!hadi dk 81 antonio valencia akaipatia bao la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba kufahamishwa eneo au mahali gani nitapata vifaa vya michezo kwa mfano vyuma,maana nahitaji kunyanyua vyuma vya uzito mbalimbali, mimi naishi bagamoyo,tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Ni Hamisa Willy katika pambano la kimataifa lisilo na mkanda kapigwa tko roundi ya 4 na Catherin Phir wa zambia! Hoi! Source tvz2.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
huyu jamaa hakamatiki, ni another level, nadhani kwa kizazi hiki hakuna mchezaji anaemgusa, ha suggested way ya kumzuia ni kama inavyoonekana kwenye picha lol na kama unafikici cr. 7 ni mkali...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Naisikitikia sana nchi yangu ya TZ kwa kukumbwa na tatizo la kuchanganya siasa ktk kila jambo kama vile kwenye afya ,elimu,ujenzi,michezo nk.nimekua nikimfatilia muda mrefu huyu jamaa tangu akiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kuna mtu yeyote wa kuniambia ile taarifa kuwa Ngasa kafaulu majaribio huko maerekani na atakwenda January imeishia wapi? naona sasa ni April kama sikosei na Ngasa yupo tu Azam anaendelea...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
RAGE ZITTO ZUNGU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YAH: TAARIFA ILIYOTOLEWA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA UCHAGUZI WA TFF JUU YA TUHUMA MBALI MBALI DHIDI YANGU YA 6/3/2012 Nimepokea taarifa za shutuma mbali mbali dhidi yangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya gemu ya jana..je Barca bado wana jeuri ya kuitoa Madrid UEFA.?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
gekuwa vipi kama matatizo aloyapata Muamba ndo yangemkuta Messi, unadhani mashabiki wa timu fulani ya Uingereza waneombea apone? Tafakari!!!!!!!!
0 Reactions
3 Replies
906 Views
Mbaguzi wa Muamba kwenda jela 27 Machi, 2012 - Saa 13:29 GM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…