Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kenya nje, Uganda yashikwa Thursday, 02 December 2010 20:50 Vicky Kimaro MABAO...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajamii, Mechi kati ya watani wa jadi hapa east africa Kenya vs Uganda wapo uwanjani jijini Dar, mechi ndo imeanza ryt nw..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, mechi ya kili stars ndo hiyo inaanza katika mashindo haya ya challenge. Nsajigwa ndo kapteni. Ruhusa ya kuingia free imesaidia wabongo wengi kuingia uwanjani ili kuisapoti timu yao. Je...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
KATIBU mkuu wa Baraza la Vyama vya soka Afrika Mashariki na Kati, CECAFA, Nichaolaus musonye amepongeza mahudhyuria makubwa ya mashabuiki wa soka, lakini akashangaa kuona Watanzania wanapenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa Soccer sote tunamfahamu Mrisho Ngassa bila shaka yoyote. Katika hii michuano ya Challange wote mtakubaliana na mimi kwamba iz game 2 za Kilimanjaro stars zilizopita uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninawaomba wana JF anayefahamu matokeo ya mechi kati ya Rwanda na Zanzibar atujulishe. Natanguliza shukurani zangu kwenu. :rofl:
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu wana JF naomba nijulisheni. Je ni kweli kuwa mchezaji wa kwanza aliyevunja mwiko kwa kuhama timu kati ya Simba na Yanga ni Ezekiel Greyson aliyehamia Simba akitokea Yanga?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mambo ndani ya Zurich..Uingereza washapigwa chini!..Duh!!! BBC Sport - Football - World Cup vote live - decision day
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Ninawaomba wana JF ikiwa kuna yeyote anayejua matokeo ya mechi kati ya Rwanda na Zanzibar atuwekee hapa. Natanguliza shukurani za dhati. :rofl:
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wana Watanzania. Kwa kweli Mkoa wetu wa Kilimanjaro umepoteza dira katika michezo ya aina mbalimbali ikiwemo soka. Toka enzi za USHIRIKA kucheza ligi kuu umepotea kabisa na kuacha vijana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna hili suala la kocha wa Timu ya Taifa kufundisha Kilimanjaro Stars wakati Zanzibar pia kuna timu nyingine. Nadhani kuna haja ya kocha wa Taifa aendelee kubaki kuwa wa Taifa na michuano kama ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MABAO mawili ya mchezaji wa Ethiopia, Shemelles Godo katika kipindi cha kwanza yalitosha kuifungasha Kenya virago kwenye michuano ya Tusker Chalenji baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1, huku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Will you watch it? Myself I can't wait for the drama......
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JUMLA ya wachezaji 26 wamesajiliwa na klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara katika dirisha dogo lililofikia ukomo juzi tayari kwa kuanza mzunguko wa pili unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 15...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Usifikirie bibi yako kuwa mchawi ukaona aibu hata wazungu wachawi na hawaoni aibu!!
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Ndugu zangu wana JF,Huyu Mzee kwa mwendo huu wa kusuasua wa taifa Stars chamoto atakipata na sisi tulivyo tunategemea kushinda muda wote,wenzangu mnaonaje mwenendo wa timu yetu ya Taifa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa habarini za ukweli naamini wote ni member wa ukweli na uwazi hasa kwenye mtandao huu wetu wenye furaha na kila aina ya madoido duniani..nimeona magazetini kuna habari za usajili mara...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wakuu bado mda mchache sana mtanange uanze hapo Camp Nou kati ya hawa vigogo wa soka hapo spain.
0 Reactions
241 Replies
18K Views
Hakika baada ya Furaha kubwa ya Mvua ya Magoli tuliyoipata kutoka Blackburn jana hali ilikuwa tofauti kwa kufungwa Goli 4 ambazo zimetufanya kelele zote ziishe! Kweli Man U hamjatutendea haki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
If you got time I strongly advice you to watch this.... http://www.bbc.co.uk/i/wfl8t/
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…