Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili. Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni. Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma...
3 Reactions
38 Replies
1K Views
Kila Siku GENTAMYCINE naimba hapa JamiiForums kuwa muacheni Onana hamnisikii sasa nataka Derby tufungwe tu.
2 Reactions
10 Replies
525 Views
Tumeshindwa kuwa na Subira! Yaani kipa namba moja anaumia tu kdgo, unaingia sokoni kutafuta kipa mwingine, stori kama hii ilitutokea mwaka jana, alipopona Manula, tukajikuta tuna makipa...
1 Reactions
5 Replies
454 Views
Na sio team TU hadi mashabiki ni mastar maana naona kina queen latipha n.k in da house baby
0 Reactions
2 Replies
249 Views
Nyota mpya wa klabu ya Yanga Sc, Chadrack Boka bado hana uhalali wa kuwatumikia waajiri wake hao wapya baada ya klabu ya FC Lupopo kushindwa kuipatia Yanga Sc Cheti cha Uhamisho wa Kimataifa (ITC)...
0 Reactions
3 Replies
573 Views
Baada ya kufanikiwa kukifunga kikosi "C" cha kaizer chiefs fc, hatutaki visingizio siku mkikutana na mfalme wa nyika ,The mighty Simba Sc, katika mechi ya ngao ya hisani. UBAYA UBWELA
3 Reactions
51 Replies
1K Views
Ndo Ivyo wananchi wamewalipia kisasi wale vijana wa Mangungu maana walipigwa chuma 4 kwa mtungi na kaizer chief! Wananchi wanatamba kokote na wanatoa adhabu kokote na kwenye uwanja wowote...
2 Reactions
2 Replies
405 Views
Mara nyingi makipa wanaonekana sana ni hawa wa timu kubwa, lakini aliyekuwa kipa wa KMC amethihirisha uwezo wake kwenye takwimu.
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Sina la kusema winga ya ball mzee wa kuwasomba mabeki Hana mpinzani pale Cairo watu walivunjika miguu kwa vyenga vya mikas kwa winga ya ball Kutoka msimbaz Natumai mzee wa mahesbu aka MWASIBU...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Simba SC imekamilisha usajili wa Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda. Onana amesaini Mkataba wa miaka miwili...
2 Reactions
63 Replies
9K Views
Kama mjuavyo leo yanga fc watakipiga huko southAfrica. Na kwa taarifa rasmi zilizotolewa na kiongozi ngazi ya mkoa hapo Arusha ni kuwa gavana wa arusha yupo likizoni akimalizia siku 28 za likizo...
4 Reactions
12 Replies
539 Views
Nimeangalia mechi zote za Mapinduzi Cup alizocheza Simba Sc. Kuna kitu nimekiona miguuni kwa baadhi ya wanandinga wa Simba Sc. Nimemuona Kazi akipiga kazi nzuri akiimarisha ulinzi eneo hatari la...
12 Reactions
16 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu alisema yeye ni Yanga Lia Lia lakini kamwe hawezi kuvaa Jezi za Wananchi kwa sababu ya rangi zake Nadhani Sheria Ngowi amemsikia na kumletea Uzi...
1 Reactions
1 Replies
308 Views
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo. Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa...
30 Reactions
130 Replies
4K Views
Anaandika Idd Rashid (Iddmastory). Alessandro Del Piero alizaliwa Novemba 9, 1974 huko nchini Italia katika familia ambayo baba yake alikuwa ni fundi umeme na mama yake akiwa ni mama wa nyumbani...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Mimi ni simba damu na nakubali mlitupiga kono la nyani aka hamsa. Ila sasa mnachokifanya ni sifa zilizopitiliza kuweni na utu na huruma japo kidogo. Ndio nini kutuwekekea kono la nyani kwenye...
8 Reactions
14 Replies
533 Views
Kuna mapambano ya Rizen3 yanarushwa muda huu Azam Tv, watu wanachapana ngumi kama wanataka kuuana, ni fight kali sana zinazoendelea. Nikawa najiuliza hawa wenzetu wana train vipi mazoezi yao...
1 Reactions
4 Replies
321 Views
Mnyonge mnyongeni ila Azam kwa hii bei na mifumo ya kikodi ya nchi yetu, gharama za uendeshaji hasa ukizingatia dollar ilivyo juu mimi naona malipo ya 910 per day sio mbaya. Kwa wale wenye...
2 Reactions
3 Replies
403 Views
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii. Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha...
20 Reactions
50 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…