Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya...
5 Reactions
11 Replies
628 Views
Wadau hamjamboni nyote Ni usiku huu Mandonga aokolewa na refa round ya mwisho wa mchezo
8 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari Mimi nishabiki kindaki ndaki wa YANGA,yani nikichanjwa damu inatoka na jina la YANGA. ILA kusema ukweli naumia sana tena sana,simba inapoelekea. Mpira wa Tanzania ni wa YANGA NA...
5 Reactions
18 Replies
708 Views
Namsikiliza kwenye radio free sahizi anasema Simba nafasi ya ubingwa tunayo timu iko imara, mashabiki waache kulalamika,huwezi kuwa mbovu wakati umefika robo fainali club bingwa, upo nafasi ya...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Kumekuwa na misuguano ya mara kwa mara kwa clabu ya Yanga dhidi ya wachezaji wake tena wakubwa tu. Morrison Feisal Mayele Bangala Shaban djuma Kwa mantiki hii inaonyesha kuna ukandamizaji...
2 Reactions
9 Replies
660 Views
Nina taarifa za uhakika kuwa ili Kutuliza Hasira Kali za wana Simba SC ( nami nikiwemo ) za muenendo mbaya wa Timu yetu na kwa Viongozi wetu wa Simba SC kwa kutujua Mashabiki wao tulivyo Mazuzu...
2 Reactions
12 Replies
975 Views
Fiston Mayele yuko sahihi kwa 100% kwani Waganga Wawili Wakubwa wa Yanga SC mmoja akitokea Kisiwani Zanzibar na mwingine akitokea Kusini ( Mtwara na Lindi ) ni tatizo na sababu ya Kinachomkuta...
18 Reactions
70 Replies
7K Views
Katika mahijiano ya Dakika 50 na sekunde 3 aliyofanyiwa na Azam TV ambayo yameonyeshwa kwenye youtube channel ya kituo hicho, Fiston Mayele ameongea mambo kadhaa, lakini mimi nimeamua kuongelea...
15 Reactions
71 Replies
4K Views
Wengi wamekata tamaa na litimu lao na wameahidi kuwa hawataingia uwanjani na hata wakiwa mahome kwao watageuza visogo wasiangalie mechi kati ya YANGA mwenyeji yaani na Simba. Mmojawapo nadhani...
0 Reactions
9 Replies
471 Views
Mashabiki wa simba na watu wote wapenda Mpira niwaambie tu hivi kua GONGO ni GONGO No Matter ipo kwenye Chupa gani. Ujue Mashabiki wa Mpira Hasa Simba kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa kushabikia...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Ukilinganisha takwimu za kocha objective na huyu Benchika za mr objective ni nzuri kuliko za huyu. Najua mtakuja na mapovu ila muda utaongea
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Shabiki ni mchezaji wa kumi na mbili (12) Kama kanuni za mpira zinavyosema, hivyo basi TFF na Bodi ya ligi inapaswa kuwalinda mashabiki kwa kutengeneza mikakati maalumu. Kumekua na kasumba...
3 Reactions
11 Replies
546 Views
Hellow Wana JF. Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023. Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA...
24 Reactions
104 Replies
9K Views
Kurusha mawe kwa Mangungu ni kupoteza muda tu, hata ikitokea kajiuzulu Mambo yatakua hivyo hivyo tu. Mangungu anatumika ana watu nyuma ya Pazia Hana sauti na Hana uwezo wowote wa kupambana na...
2 Reactions
6 Replies
396 Views
Kwenye bara la Amerika Kusini, kuna makombe 10 ya dunia ambayo nchi za bara hilo zimeshinda, ukiachana na maajabu ya soka kuna maajabu yao ambayo huwezi kuyapata bara lingine. Nchi kama Bolivia...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania toka (JWTZ) Sgt. Alphonce Felix Simbu awasili Tanzania Kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kupokelewa na Viongozi wa Michezo na...
2 Reactions
2 Replies
451 Views
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu ashinda medali ya Shaba kwa kushika nafasi ya Tatu , kwa muda wa (2:07:55) kwenye Mashindano ya DAEGU MARATHON yaliyofanyika usiku wa leo...
5 Reactions
10 Replies
664 Views
Je, Huyu Mchezaji ni nani? Ameshinda Ballon d'Or Copa America La Liga Copa del Rey Kombe la Dunia Klabu Bingwa Dunia Mfungaji Bora World Cup Mfungaji Bora Ulaya Mchezaji Bora Ulaya Amecheza...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Yaelekea Yanga ilimroga Mayele Hadi Leo hii Bado mguu wake umevimba 👇👇 https://www.instagram.com/p/C5nckZEs0AO/?igsh=bGt5ZGRjMmV6NGpi
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…