Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Walifungwa goli 5, wakajibu mwaka jana.Bado rekodi ya goli 6 hawajaifikia. Simba walicheza fainali CAF,yanga wakacheza pia halafu wanatamba kufanya marudio. Simba amezoea kuingia robo fainal...
4 Reactions
13 Replies
438 Views
Inawezekana kuwashusha busha na kupiga chata ya Yanga kwenye busha?
0 Reactions
0 Replies
391 Views
poleni kwa kufungwa aggregate 3-0,natumai makocha wamejifunza kitu
0 Reactions
2 Replies
233 Views
Nafuatilia marejeo ya mpira Kati ya Simba na Alahal kupitia Azam sport, naagalia nikiwa sina presha kwa utulivu mkubwa, hakika Simba walionyesha kiwango cha juuu sana tena sana. Hii ilikuwa mechi...
0 Reactions
17 Replies
818 Views
Hapo vip!! Mpira ni mchezo wa wawazi na data hazidanganyi. Kwa tathmini inavyoonyesha yanga ndio timu dhaifu na mbovu kwa sasa katika hatua hii ya robo final club bingwa kwasababu zifuatazo: 1...
12 Reactions
57 Replies
4K Views
Mapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Lakini tunaweka akiba ya maneno. Walishakuja kina Okrah ikabidi kula matapishi yetu. Wapiga misumari tuoneeni huruma mashabiki na wadhamini. Zile hela za kumsajili ni nyingi
14 Reactions
83 Replies
7K Views
Wengi wanahisi Pacome kaumia kutokana na game ya leo lakini ukweli ni kwamba Zizu ameumia kabla ya mechi ya pili na CRB. Nachoshangaa kwa nini Gamondi anaendelea kumtumia na anajua alitonesha...
5 Reactions
73 Replies
4K Views
kila msimu mamelodi huwa anatolewaga kwenye hizi hatua za mtoano. hizi ndio records zake mfululizo zamu ya yanga kumtoa imeshafika
7 Reactions
18 Replies
963 Views
Tatizo la yanga wachezaji na kipa wako vizuri uwanjani ila Yanga haina wapiga penalti wazuri ni wabovu sana Kocha yuko vizuri kanoa timu vizuri ila ana kazi ya ziada kufunza wapiga penalti.
0 Reactions
1 Replies
399 Views
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya...
24 Reactions
2K Replies
62K Views
Huyu ni shabiki mnazi wa Masandawana. Ona alicho kiandika hapa
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Huu ni utapeli wa wazi,wachezaji wa aina ile hata wa ndani wapo na hawezi kusajiliwa na timu zingine ndogo. Wanaosajili Simba wanafaa wawe nyuma ya nondo sahizi kwa utapeli wa wazi.
12 Reactions
41 Replies
3K Views
Hivi hizi timu zenu za kisiasa Zina matatizo gani hasa? Yaani vyombo vya habari vimejaa stori za Yanga na Simba Kuzodoana na kuleteana fitina nk kana kwamba ndio Zinaenda kukutana mwisho wa wiki...
1 Reactions
13 Replies
684 Views
Ukiacha Usimba na Uyanga pembeni kuna faida kubwa ya timu zetu kuingia nusu fainali kuliko unazi wetu a) Kwanza Simba atapanda kiwango na rank toka point 39 mpka 54 Hiyo ni regardless kama Es...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Rais wa Yanga Sc Eng Hersi Said amesema kuwa serikali imekubali kugharamia mashabiki watakao safiri na Timu kwa njia ya basi kutoka Dar es Salaam Hadi Afrika Kusini kwenda kushangilia Timu ya...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Kocha wa Mamelodi Sundowns ametoa la moyoni kwenye media za South Africa akielezea kusikitishwa kwake Kwa timu Yao kukosa support ya mashabiki mpaka kufikia wanachukua ubingwa wa PSL last season...
12 Reactions
78 Replies
4K Views
Mwanzoni Mamelody waliweka kiingilio Rands 20 . Then Injinia wa mpira, Hersi Said akatangaza kiingilio bure kwa kila shabiki wa Yanga atakae ingia uwanjani loftus kuwaspoti Yanga ( umewekwa...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…