Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna tetesi kwamba Yanga haijawahi kutoka nje ya tatu bora, Wengine wanafika mbali kudai kwamba Yanga ikikosa ubingwa basi husalia namba 2 tu, si nje ya hapo. Ni kweli?
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Rangi nyekundu ndie mm na kosa nlilofanya ni kupandisha kete ya juu kulia ili kuwahi kingi. Ile kete sio kosa,kosa ni kete ya kushoto kuto kulisha bure au kubadilishana. Drafti liliisha hapo hapo...
5 Reactions
87 Replies
8K Views
Kuna hali ya kustajabisha ndani ya uongozi wa Simba katika kusimamia timu. Hapo awali tuliona jinsi gani uchebe aliondolewa kwenye timu, ilianzia kwa mashabiki huko mwanza kumtupia chupa za maji...
12 Reactions
18 Replies
1K Views
Tulikuwa nae mazoezini jioni ya leo N:B TUMEANZA MAZUNGUMZO YA AWALI NA KISHINGO Anaitwa cadena Neno lako
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Kwakweli Hawa watu ni makatili sijawai Kuona, walikuwa wametega mtego mbaya sana dhidi ya yanga lakini wameferi na wameshindwa vibaya sana. Hii ratiba aikupangwa kwa bahati mbaya bali walikuwa...
27 Reactions
33 Replies
2K Views
Leo picha zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha bodi ya wakurugenzi Simba imekutana kufanya kikao chake kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo, kikao hicho kimeonyesha kuwa baadhj ya...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Kama mliangalia vizuri, musonda alivyotolewa akaingizwa mzize. Alimlalamikia sana Gamondi, lakini mzize alipofunga Musonda alienda kwa Gamondi na kumpongeza kwa kumkumbatia, huo ndio uanamichezo.
5 Reactions
1 Replies
620 Views
Hizi ni baadhi ya Comments za wana Jf nilizochukua Mapema kwenye baadhi ya Nyuzi kabla ya Derby,Ndugu Mpenzi wa Jukwaa leta nyingine kama unayo. Au nisaidie kuwa-Tag waje wajitetee hapa tena.😂😂
17 Reactions
46 Replies
3K Views
Saikolojia ya wachezaji itakuwa imeathirika sana na ukweli ni kwamba jambo hili limetokea mapema mno mwanzo wa msimu. Ilikuwa kuacha wachezaji wote waliofanya uhuni.Zaidi ya wachezaji wanane...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Hili I Ni bandiko kwa ajili ya kukusanya maoni , mawazo, mitazamo, ukosoaji, pongezi kutoka kwa wanasimba na wadau wa futiboli kwa ujumla. Unakaribishwa kuweka maoni yako hapa ukijita katika...
1 Reactions
18 Replies
710 Views
TFF na Bodi ya ligi mkishakusanya pesa zenu za mapato mkatia kibindoni Basi hamuangalii/hamfikilii ni namna gani wachezaji wamevuja jasho katika mchezo mgumu wa Derby ya kariakoo. Kabla ya mchezo...
5 Reactions
17 Replies
751 Views
Pia nikushukuru sana Kipa Aishi Manula kwa kuamua kuwatolea Uvivu Wachezaji wenzako ( Wageni ) hasa Chama na Ntibanzokinza ( tena kwa Kuwatukana vilivyo ) mpaka ukaamuliwa na Waandamizi Wawili...
11 Reactions
83 Replies
7K Views
Hakika soka letu kivyetu vyetu leo nimeshuhudia kioja cha mwaka kama sikosei ni Semfuko mchezaji wa Coastali kapewa njano mbili bila kupewa nyekundu, Kwa kifupi huyu refa wa leo alikua na...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Klabu ya Azam Fc imesikitishwa na kitendo cha Klabu ya Simba Sc kufikia makubaliano na aliyekuwa Kocha wao Roberto Oliveira maarufu kama Robertinho aliyepewa mkono wa kwaheri mchana wa leo...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Winga Jadon Sancho ambaye yupo nje ya kikosi cha kwanza cha Manchester United kutokana na kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha wake, Erik ten Hag ameondolewa katika Kundi la Wachezaji la timu hiyo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu mashabiki wa Simba na Yanga zile jezi za Yanga zilizokuwa zinasubiliwa Kwa Hali na Mali na mashabiki wote wa Simba na Yanga hapa Tanzania zimetoka. Nyuma zimeandikwa 5-1 [emoji23][emoji23]...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimeangalia mechi zote yanga atatangaza ubingwa akiwa na mechi kadhaa mkononi. sababu timu pinzani zote ni dhaifu kwenye Nbc ligi hazina malengo wachezaji wao wamejaa ushamba. Haiwezekani...
9 Reactions
16 Replies
906 Views
Yes Azam 2 Hd kuna game inaendelea michuano ya vilabu Afrika wanawake kule kwa kina Pacome fundi Ivory coast na gemu ya Sasa ni dhidi ya Jkt Queen na timu kutoka Ivory coast wenyeji mpaka sasa...
1 Reactions
2 Replies
393 Views
Back
Top Bottom