Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Amenukuliwa na gazeti la African magazine sports kwamba kwa sasa katika group lao timu wanayohiofia ni young africa sport, alihojiwa kuhusu CR Belouzdad na Medeama akasema vijana wa yanga Africa...
13 Reactions
22 Replies
3K Views
Yes Che mallone beki kutoka Cameroon aliyesajiliwa kwa mikwara mingi kutoka Cotton sports ya kwao Cameroon ulikua ni muda tu hujafika kuona panapovuja waswahili wanasema wacha inyeshe tuone...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Cheza slot za EgT Interactive uvune mkwanja zaidi ya million 30 SOKABET ni rahisi 1. ingia website ya sokabet 2.Bonyeza slots 3.Chagua EGT slots anza kuspin hadi kwa shillingi mia Na hapo bado...
2 Reactions
0 Replies
252 Views
MANGUNGU AGOMA KUNG'ATUKA SIMBA "Bodi imefikia uamuzi huo (kusitisha mkataba na kocha) sio mimi. Simba inaongozwa kwa mujibu wa utaratibu. Nijiuzulu kwa sababu gani, kwani timu inafanya vibaya ...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Wachezaji watano wa Simba Sc akiwemo Enock Inonga na Clatous Chota Chama wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yao baada ya kufungwa na Yanga SC mabao 5-1 siku ya Jumapili. Wachezaji hao...
14 Reactions
150 Replies
30K Views
Viongozi wa Simba na mwekezaji wake ni watu wa propaganda nyingi sana na wamekuwa wakiishi hivyo kwa mda mrefu walicheza na akili za wanachama wao! Jambo hili limekuwepo kwa mda mrefu na ilikuwa...
1 Reactions
7 Replies
664 Views
Kumpa simba Matola na Cadema ata kwa siku 3 ni ujanja ujanja tu. Kama mgunda akipewa timu mechi ya kwanza tu atafanya wonderful na na Mo atamuelewa hivyo viongozi kukosa upigaji mwingine ws...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
Shabiki wa Yanga Mkoani Geita ndugu Hussein Makubi ametoa zawadi ya Ng'ombe wa tano kwa timu ya Yanga baada ya kuwafunga Simba goli tano kwa moja.
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Ifikie hatua ukweli ujulikane, Hivi kauli ipi kati ya hizi mbili iliyokuwa ikiashiria ukweli ndani yake? Tuanze na Haji Sunday Manara, huyu akiwa afisa habari wa klabu ya Simba Kwa wakati huo...
10 Reactions
64 Replies
4K Views
Hali ni mbaya wakuu natamani kudanja, mkiona sipo hewani mjue either ni simu imezima au mimi nimezima kabisa tumekubali 5 kwelii kwa hawa wakulima wa nyanya.
33 Reactions
175 Replies
7K Views
Bugati Naomba nisikilizwe haraka,nna hoja!! 1. Robertinho kawa kocha bora wa ligi mwezi uliopita,tena katangazwa juzi tu. 2. Ameshinda mechi sita kati ya saba za ligi msimu huu, Sisi watu wa...
34 Reactions
40 Replies
3K Views
Kipigo cha bao 5 kutoka kwa Yanga, kina dalili zote za kuivuruga Simba kuanzia kwenye uongizi mpaka kwa wachezaji na bench zima la ufundi. Hivyo; busara ikikosekana, kuna hatari ya hii club...
3 Reactions
9 Replies
551 Views
Kuna vijana ambao wameamua kujifanya kumsemea Robertinho kuwa hata Simba isipocheza mpira mzuri lakn inashinda, wengine wanasema hajafungwa hata mechi moja, wengine wanamuita kuwa kiboko ya Yanga...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Silaha kubwa ya TFF katika kupanga matokeo ni Ratiba ya ligi ambao kanuni za mpira zinaheshimika Ratiba ya ligi haibadiliki na inakua FAIR kwa timu zote shiriki. Yanga wanawafuata coastal J5...
12 Reactions
40 Replies
4K Views
𝗕𝗔𝗗𝗒 π—›π—”π—π—”π— π—¦π—˜π— π—” π— π—”π—žπ—’π—Ÿπ—’ Huko ukoloni kumechafuka [emoji1][emoji1] Mwenyekiti amepewa muda ajiuzulu mwenywe bila shuruti Hii imeenda bado sasa wenye timu yao marafiki wa [emoji881] HAWAMTAKI...
5 Reactions
74 Replies
7K Views
Hapa una Murtaza Mangungu raisi wa Simba Sports club na pale una Engineer Hersi Saidi Raisi wa club ya Young African, yupi anafaa kuwa mwenyekiti bora kati ya wenyeviti hao wawili.
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Tangia msimu wa ligi ya NBC ligi bora kabisa Tanzania imeanza Yanga ilianza kwa style ya kipekee kabisa kwa kichapo cha dozi tano tano sijui niza Benzly penicillin(X-pen) au Benzathine...
0 Reactions
2 Replies
369 Views
Awali ya yote niwape salamu mbiu Tabuleleeee (itikia Laaaaaa). Hii ni baada ya matokeo ya jana tarehe 5-11-2023, 1-5. Mashabiki wenzangu wa Simba naomba tuwe wavumilivu katika kipindi hiki...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Naona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Najua Usiku huu au Kesho na haitofika Jumanne Simba SC itaachana rasmi na Kocha wake Mkuu Roberto Oliviera kupitia Tangazo ( Taarifa kwa Umma ) Timu itakuwa chini ya Makocha Wazawa Wawili ( wenye...
36 Reactions
126 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…