Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Leo Rais wa FIFA aliyekuja kuiona timu yake ya Simba ikipambana na Al Ahly alikwenda katika kituo cha mafunzo cha TFF na Rais wa Yanga, Hersi Said akaona huyu bila kumfuata huko huko aliko naweza...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya kikosi cha Simba Sc, kuruhusu kichapo cha mabao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya mtani wake Yanga Sc, Afisa Habari wa Singida Fountain Gate, Hussein Massanza ameibuka na...
12 Reactions
6 Replies
699 Views
Jana nimekaa kilingeni na kuuliza mizimu ya babu wangu mzee Makunganya pale Kisarawe kama matokeo ya jana yalikuwa ya kimchezo kweli au mpira wetu unaelekea shimoni. Kiukweli aliyonieleza na hata...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
1/ Aishi Manula hakupaswa kuanza/kucheza kabisa kwa sababu hakuwa na match fitness, japo kuwa benchi la ufundi lilikua na maono ya kumrudisha Aish Manula rasmi katika ligi kutokea Majeruhi lakini...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Kama Ahmedy Ally asipowaomba radhi mashabiki atakua amewakosea pakubwa sana Tena sana. Fabrice Ngoma siyo mchezaji wa kujisifia kuwa kaibiwa airport, mchezaji ambaye kiuchezaji hamfikii hata Robo...
16 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi Wana JF poleni Kwa matokeo yaliotokea Na Wenye furaha hongereni. Ngoja Niende Kwenye Point Kuhusu Simba SC kufungwa Goal nyingi zidi ya mtani wake yanga. Huku Simba SC akiwa...
0 Reactions
5 Replies
818 Views
Utakuwa unafanya makosa yatakayokugharimu sana ukimwona Simba amenyeshewa mvua, ukadhani kuwa amegeuka na kuwa paka! Form is temporary but CLASS is permanent!! Mechi ya mzunguko wa pili tarehe...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Baada ya kipigo cha kizembe jana nakuja na maoni yafuatayo; Tangu Babra aondoke Simba Uswahili umerudi kwa kasi sana kwenye uongozi wa Simba, kwa hiyo hata Simba akiletwa Kocha na kusajiliwa...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Pamoja na kupigwa mkono wa nyani bado nina imani na wachezaji na benchi la ufundi. Kufungwa ni moja ya matokeo ya mchezo ingawa inauma kupigwa mkono wa nyani na yanga. Tuendelee kuwaamini...
2 Reactions
4 Replies
482 Views
Salamu ya mjini sasa ni HAMSA Aisee katika watanzania 10 ninaokutana nao 8 wamevaa jezi,za msimu uliopita au msimu huu,katika watu 100 ninaokutana nao mtu mmoja tu kavaa jezi ya simba,na...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Na hakuna asiejua kwamba hizi timu mbili zote simba na yanga zina kamati maalum za wataalam wa mambo ya kiroho ila simba huwa inafanya wazi. Tetesi zilizopo ni kwamba katika marekebisho ya...
6 Reactions
40 Replies
8K Views
Uwongozi wa Club ya Simba ni wakati sahihi sasa kujifunza jinsi ya kuendesha Club kisasa na siyo kisiasa. Tukianzia Kwa upande wa watani zetu Yanga,tangu GSM apewe timu Club ya Yanga imebadilika...
6 Reactions
4 Replies
731 Views
[emoji288] African Football Power Rankings [emoji471][emoji460] [emoji409] We've crunched the numbers and ranked the top 10 African football teams based on their outstanding performances from...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilichokiona baada ya kuangalia marudio 1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi. 2. Goli la pili la Yanga...
5 Reactions
52 Replies
3K Views
Wachambuzi wetu ni wadau muhimu kwenye mpira wetu, lakini Kuna wakati hawautendei haki mpira wenyewe kwasababu zisizojulikana au ushabiki wa timu. Simba Day umati wa mashabiki ulifurika uwanja wa...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Simba imepata sare ya 2-2 na Al-Ahly kwa Mkapa na 1-1 Cairo kwenye AFL mwaka huu. Kwa muda mrefu Simba huwa inaishia Robo Fainali kwnye Mashindano ya CAF, na sasa wameishia hapohapo kwenye robo ya...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari za kushinda wana wa jf, Bila kuwachosha niwaulize moja kwa mojaaa wengi katika masuala ya kubeti huwa mnampania kummpiga kanji hii haitegemei na kampuni. Bali kila mtu mara muhindi kanila...
0 Reactions
1 Replies
592 Views
USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za...
3 Reactions
58 Replies
7K Views
Amechambua @edokumwembe Ngoja nilete uchambuzi wangu uchwara kuhusu pambano la Simba na Yanga, hasa mabao yote matano ya Yanga. Mabao yao yote yalitokana na kuwa juu kiutimamu wa kimwili na...
3 Reactions
6 Replies
931 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…