Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦 “Baada ya kuingia mkataba na NIC, uongozi wa Yanga uliunda kamati maalum ya kufanya Tathmini ya mechi zote za mwezi husika na kutupatia majina matatu ya wachezaji watakaowania tuzo ya...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Moja kwa moja.. Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama...
3 Reactions
31 Replies
6K Views
MANJI AUNGURUMA KUHUSU MKATABA WA AZAM TV LIGI KUU, ASEMA YANGA... IMEWEKWA JULAI 29, 2013 SAA 7:33 MCHANA YAH: URUSHWAJI KATIKA TELEVISHENI MICHEZO YA YANGA. HIVI karibuni, Tanzania Football...
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Mimi huwa napenda sana namba na hesabu Kwani hazidanganyi, haziongopi wala hazipendelei Jinsi Simba alivyojizolea point 35 katika msimamo wa vilabu bora Afrika 1) Msimu wa 2018/2019 aliishia...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
[emoji471] #NBCPremierLeague [emoji460]️ Ihefu SC Vs Young Africans SC [emoji414] 04.10.2023 [emoji909] Highland Estates [emoji797] 10:00 Jioni Matokeo ya mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu...
10 Reactions
1K Replies
58K Views
Moja Kati Ya Interviews za ajabu ambazo amewahi kufanya ni hii ambapo amefikia hatua Kusema kuwa Yeye Hawezi tena Kuizungumzia Taifa Stars...! Taifa Stars...! Nini tena atazungumzia? Akaisemee...
10 Reactions
37 Replies
3K Views
1. Aziz K- 6 2. Max - 5 3. Baleke- 5
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Kesi dhidi ya bondia wa ngumi za kulipwa Nchini, Hassan Mwakinyo ambayo imefunguliwa na Kampuni ya PAF Promotion inatarajia kutajwa kwa mara ya kwanza Novemba 13, 2023 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu...
12 Reactions
81 Replies
6K Views
Hivi hawa wanataka kitokee nini ili watimue huyu kocha wao mbovu? Zahera Mwinyi kishatimuliwa Coastal Union (wanadai kabadilishiwa majukumu), sasa hawa Azam shida yao iko wapi?
5 Reactions
50 Replies
5K Views
Tuongee ukweli sote tunajua Feisal ndo kiungo namba moja mzawa Kwa ubora nchi hii, na kiungo wa nje ya nchi Bora wako wengi. Tupo kijiweni tunajaribu kuangalia nani mkali hasa kati safi ya kiungo...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Yao ni mchezaji aliyekamilika Kwa uzoefu wangu YAO. = Ayubu+ kapombe + zimbwe + kanoute+ kibu + Chama + na mshambuliaji mmoja baleke Ukitaka kutengenezewa magoli kutokea pembeni basi jibu...
2 Reactions
9 Replies
422 Views
Azam FC inakutana na Namungo FC katika Uwanja wa Azam Complex unaomfanya Azam FC kuwa nyumbani Huu ni mchezo wa mzunguko wa 7 wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Na hapa chini ni baadhi ya taarifa za timu...
3 Reactions
185 Replies
9K Views
Salaam Kama topic ilivyo hapo juu. Hawa uto wakiwa juu ya msimamo no matter what, huwa kelele zina potea kuilalamikia Simba sc, TFF na waamuzi. Kama sasa hivi kwa michezo saba na point zao hizo...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) fidia ya Sh 1 bilioni kwa kutumia...
14 Reactions
92 Replies
10K Views
Imezuka tabia hapa jukwaani watu kufungua nyuzi zenye utopolo mwingi wakibeza mafanikio ya MOST SUCCESSFUL CLUB AND GIANT OF AFRICA. Huu ni uzamwamwa, uzuzu, utaahira na uzumbukuku wa mashabiki wa...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Wenye Kuujua mpira wa Tanzania na Fitna zake zote tumekuelewa hasa ukizingatia kuwa Kiasili Wewe ni mwana Yanga SC lia lia. Nasikia leo kuna Goli kuanzia 3 hadi 5 na hata 6 kama Mipango ikienda...
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Hili jambo nililiona siku nyingi za nyuma nikaamua kulikaushia ila ngoja tu leo niliseme. Ukipitia profile za wachezaji wote wa Simba katika website ya timu, Moses Phiri ndiye mchezaji ambaye ana...
6 Reactions
71 Replies
4K Views
Kitendo cha timu ya Azam Fc kugomea mechi ya kirafiki kabla ya kuisha kisa maamuzi mabovu ya mwamuzi kinaonesha mlivyo na utoto. Lengo kuu la friendly match ni kupima mbinu na utimamu wa mwili...
6 Reactions
50 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…