Kongole kwa Simba kwa kufanya vyema miaka sita huko nyuma Kwa kuingia makundi na kuishia robo,
Kongole pia kwa kutinga nusu fainali CL mwaka miaka ya 1970 huko
Sasa tuje leo,wote tupo...
Baada ya pira papatu papatu na Simba sc kufuzu hatua ya makudi.
Kituo kimoja Cha redio kilifanya mahojiano na msemaji wa CAF (Ahmedy Ally) Kama anavyojiita.
Maandishi : "mashabiki wanasema kuwa...
"Ooh nimeshindwa kumpiga knockout sababu bukta yangu ilikuwa imenibama"
"Ooh viatu vyangu vilipotea airport"
Na mengine mengi mnayoyajua.
Jamaa hata ongea yake na media ni mtu wa lawama sana...
LEO NI MECHI MUHIMU KWETU UGENINI KTK VIWANJA VYA KAMBARAGE LIGI KUU NBC PREMIER JKT TANZANIA FC VS MASHUJAA FC TUNACHUKUA POINTI TATU….
Leo tunacheza mechi Ugenini Ktk Viwanja vya Kambarage...
Pongezi kwenu JWTZ kuwa na maeneo mengi makubwa hapa Tanzania.
Maeneo mengi yapo strategically kama mtayatumia kama fursa ya kukuza uchumi wa Jeshi letu la wananchi.
Pale Nyegezi kona katikati...
Hatuwezi kujisifu kuwa ligi yetu ni Bora wakati Kuna marefa wasiojua Nini wanachokifanya.
Marefa wa ligi yetu hii huwa wanachezesha vizuri Simba na Yanga tu lakini kwa timu nyingine hakuna...
Nimeoma mara kadhaa baadhi ya wachezaji na viongozi wa Azam wakiikejeli Simba kwa namna ambayo tunaona mashabiki wa Yanga wakifanya.
Azam wamejitahidi sana kuikamia Simba katika miaka hii miwili...
Hapo alipofikia inatosha, tumeishi maisha ya tabu sana hizi siku za huyu kocha, ni muda sasa Simba irudi kwenye biriani na sambusa, papatu papatu sasa imetosha, wachezaji wetu wanavyocheza hawana...
Wachezaji hawana morali kabisa. Hii Ni kutokana na timu kutumia fadha nyingi Sana kukamilisha sajili za kimadili dili. Wakati Caf wakitoa billion 5 za usajili Simba. Viongozi walitumia pesa hizo...
Naishauri serikali ijenge viwanja hivi haraka iwezekanavyo, kwa ajili ya kugombania michezo ya AFCON 2027. Kenya wanajenga viwanja vyao vizuri sana na kuna uwezekano michezo mingi ikachezwa kule...
Gadiel Michael na Beno Kakolanya walikua ni wachezaji tegemezi ndani ya kikosi Cha Yanga SC.
Kakolanya alirubuniwa akatimkia Simba sc na kiwango chake kikashuka baada ya kukutana Aishi Manura...
1998 Yanga group stage CafCl
2003 Simba group stage CafCl
2016 Yanga group stage CafCC
2018 Yanga group stage CafCC
Misimu ya korona
2019 Simba group stage CafCl
2021 Simba group stage CafCl...
Kwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda...
Kapten Fantastic John Raphael Boko!
Leo amezidi kuwa prove wrong haters wake. Pamoja na dharau nyingi dhidi ya Ake bado Boko anaweza kucheza Champions League.
Hakana Kocha mwenye akili Timamu...