Yoyote anayemtesa huyu jamaa kwa misumari basi ajue anatukosea sana wapenda kabumbu. Halafu kwanini wachezaji wazawa wanawabagua wachezaji wageni hapo lunyasi? Hata picha inajieleza tu
Kuna kanuni moja ambayo inasema
Pata ili utoe
Natoa ili upate
Kwenye vitabu vya dini vinasema ili upate baraka za Mungu ni lazima ukumbuke maskini
Pia kwa shetani kuna kanuni ambayo inasema nipe...
CAF's TOP 5️⃣0️⃣ Ranked Clubs in Africa after the group stage of the 2022/23 CAF interclub competitions:
Based on the 5-year RANKING!
1. 🇪🇬 Al Ahly
2. 🇲🇦 Wydad Casablanca
3. 🇲🇦 Raja Casablanca...
Leo kwenye mechi ya ligi kati ya wenyeji Kitayosce (Tabora United) na Prisons (Magereza kwa Kiswahili) ile sehemu ya kuchezea (pitch) ukweli inatskiwa ifanyiwe maboresho makubwa.
Uzi huu una lengo la kutaja wachezaji waliopata kucheza vilabu vyote viwili vya Simba & Yanga.
Naanza na Edibily Jonas Lunyamila, huyu alicheza Yanga na baadae alicheza Simba japo alivuma zaidi...
Kifo Cha Mpira wa Pogba kinachodhaminiwa na nduguze kikaribu kuja.
Kipindi wewe unapambana Hadi kuroga upate pesa wenzako wanatamani kuzikosa maana zinawaletea shida na matatizo kila uchao.
Ndugu...
Kiungo wa timu ya Juventus, Paul Pogba, mwenye umri wa miaka 30, amesimamishwa kucheza kandanda kwa muda baada ya kukutwa na kosa la kutumia dawa za kusisimua misuli. Uamuzi huo umechukuliwa na...
Nilipokuwa Juventus katika moja ya mechi dhidi ya Intermilan.
Materazzi alinichezea rafu mbaya kwa kusudi na kuniumiza.
Nilitamani kurudi na kulipiza ilishindikana.
Niliporudi Ac Milaln Kati ya...
Zaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza.
Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka...
Kwa muda sasa kumekuwa na kupongezana kutokana na taarifa kuwa ligi kuu ya NBC ilitangazwa ni ligi ya 5 kwa ubora katika bara la Afrika.
Kwa muda mrefu nimejaribu kuitafuta hii taarifa humu...
Tunaenda na mabasi 80 yaliyojaa,
Kila basi Lina avarage ya 55 passengers ..so total kwa basi 80 n 4,400 na kila abiria aliambiwa anaandae 50k ya hotel na sio lodge, bado Kuna wale wataoenda na...
Mkiambiwa Mpira wa Afrika ni Vita na kutokana na Ugeni wenu jifunzenj kutoka kwa Wazoefu wa Mashindano ya Kimataifa Simba SC hamtaki.
Taarifa ikufikie kuwa kuna Tetesi kuwa Klabu ya El Merreikh...
Mchezaji wa Kimataifa wa Ghana mtukutu Benard Morrison au BM3 au Ben Maokoto au vyovyote vile utakavyomwita awajaza Waarabu kwenye Rada yake. Na hatimaye wamejaa.
Pamoja na kutokuwa na imani naye...
Tunajuana na ndiyo maana nimeamua kutoa tahadhari mapema nikiamini wanaoenda Ndola Zambia ni Wastaarabu mno.
Kuukweka ni Kujisaidia Haja Kubwa. Ni Lugha ya Wazaramo hiyo na Mimi GENTAMYCINE ni...
Jana tumeshuhudia mchezo wa kiume kweli kweli kati ya Taifa Stars na wenyeji Algeria. Wachezaji wa Taifa Stars jana wameipigania Bendera ya nchi yao kweli kweli, pamoja na Algeria kusheheni mastaa...
Wataalam naombeni kujua kuhusu hili, maana amezaliwa England kwa Mama Mzungu na Baba Mtanzania wa Zanzibar.
Kwenye timu ya England U 17 amecheza pia. Na sasa ni kati ya mabeki wetu wa...