Kuna kundi kubwa la watu wamekuwa wamekariri tu kuwa msimu fulsni timu nane hazitoanzia hatua ya awali lakini hajui hata ni vipi inapatikana na pia hajui kama idadi aliyotaja inaweza kuwa sahihi...
Wakuu tuweke mambo wazi.. Timu yetu ya Simba uwezo ni mdogo sana, wachezaji wengi ni wa viwango vya ndondo cup, Kwa kulitambua hilo uongozi wa Simba umewekeza zaidi kwenye propaganda zaidi maana...
Ndio kwani shida ipo wapi bhana?
Kama hela kwenye kibubu hamna, semeni mashabiki na wanachama tutachanga kuhakikisha Simba inawafanyia umafia na kuivunja vunja yanga kipindi hiki!
Raha ya...
Kuna nini huko?
Nyota wa Klabu ya Simba SC, Clatous Chama [emoji1268] kupitia Instastory yake ame-repost tweet ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez akionesha kukubaliana...
Hatimaye mwenye Jezi yake karudi Msimbazi ni suala la muda tu unaosubiriwa jamaa atangazwe na kukabidhiwa Jezi yake. Swali ni moja tu, alikuwa anahitajika kwa kipindi hiki pale Msimbazi au...
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema kampuni ya HK Group sasa iko tayari kuwekeza katika Vilabu vikubwa nchini Simba SC na Dar Young Africans
Ikumbukwe Mwekezaji Mo Dewji amesema...
Inaonekana hakuna maingizo mengi mapya,hasa baada ya kumalizana na bangala na lomalisa,ambao ilisemekana wana mpango wa kusepa..ila kwa mayele hapo mhh sina uhakika.
Ikiwa imepita mwezi mmoja tangu kutolewa kwa Tuzo za TFF 2023, kuna malalamiko yameibuka juu ya zawadi za washindi.
Kwa mujibu wa mmoja wa washindi wa tuzo hizo, mpaka leo hawajakabidhiwa fedha...
Mkude ni kiungo namba 6. Amesajiliwa yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba.
Yanga ni timu yenye utajiri wa viungo. Hivyo kuna ushindani mkubwa wa namba.
Mkude anaenda kuchukua namba ya...
Wakuu,
Timu yetu msimu huu kuna kila dalili tumekuwa serious zaidi kwenye usajili. Lakini angalizo muhimu ambalo limekuwa donda sugu ni kocha kupata wachezaji kwa mafungu na kumfanya ashindwe...
Ni kweli Mkude anayo Makosa ya utovu wa nidhamu, lakini kitendo cha kumpeleka Muhimbili kumpima akili ni kumdhalilisha sana.
Kwanini wasimuondoe tu ikiwa wanadhani haendi sawa na utaratibu wa Simba?
"Sasa ni rasmi Yanga SC yetu tumeruhusiwa Kusajili baada ya Kuzuiwa kwa muda kufanya hivyo kutokana na Kushtakiwa na aliyekuwa Kocha Wetu Luc Eymael kwa Deni lake alilokuwa akitudai kwa muda...
Ndio kwani shida ipo wapi bhana?
Kama hela kwenye kibubu hamna, semeni mashabiki na wanachama tutachanga kuhakikisha Simba inawafanyia umafia na kuivunja vunja yanga kipindi hiki!
Raha ya...
NDUGU WANAJAMVI ILI KUWEZA KUPATA LADHA YA KABUMBU VITU VIFUATAVYO LAZIMA VIFANYIE KAZI
Usajili wa wachezaji bora
Benchi la ufundi bora na lililokamilika
Maandalizi ya msimu/ pre season
Viwanja...
Ili uwe bora inabidi kujipima na walio kuzidi ubora, Yanga kwa upande wao wamelitambua hilo imeona itafute timu iliyo juu yao kwenye rank za Caf ili ijipime nayo.
Ukija kwa upande wa Simba...