- Nyota David Kameta ‘Duchu’ aliyesajiliwa na Simba kutoka Lipuli FC ya Iringa miaka mitatu nyuma na alicheza Simba kabla ya kutolewa kwa mkopo Geita Gold na Mtibwa amesaini kandarasi mpya ya...
Baada ya Yanga kusikia Azam wametoa misaada kwa yatima huko Tanga, na wao wamejibu kwa kwenda Duga kutoa misaada.
Ngoma ngumu hii wajameni, azam kazeni hapo hapo, ikiwezekana ongezeni misaada kwa...
Nipende kuwapongeza wapinzani wetu Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi kuu, kufika fainal shirikisho Afrika. Pamoja na hayo yote msijisahau kua Kuna akina ya maneno, Yaani kwa Sasa Wanaona timu yao...
Habari ya muda huu ndugu msomaji wa Jamiiforums,
Baada ya kuwafunga Watoto wa tajiri namba moja hapa Tanzania (According to Forbes) kwa mabao 2-1, vijana wa tajiri asiependa kelele hapa mjini SSB...
Kila nikisia maneno ya wachambuzi na mashabiki ooh AZAM inakamia game zetu kwani kukamiwa ni dhambi?
Mnataka muachiwe tu muifunge Azam itakuwa ni ipi maana ya competition?
Acheni kulalamika...
Tulianza na la suala la usajili kipindi kile akina Aziz Ki
Tukarudi kwa Kisinda
Tukaenda kwa Feisal
Tukarudi CAF na mvua
Tukawagongea nguma ya mechi za ugenini CAF
Tukaja kwenye nusu fainali CAFCC...
NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa...
Kiatu kinatolewa kwa yule ambaye hana magoli mengi ya penati kwahiyo kiatu ni cha Fiston Kalala Mayele [emoji617] Official [emoji460] Young Africans SC
NB: pamoja na kumnunulia magoli Mzee...
Ukiangalia timu zote huwa zinafanya parade baada ya kumaliza michuano yao yote wanayoshiriki.
Sasa yanga bado hawajacheza fainali na Azam tayari wanafanya parade; huo ni ushamba, wangesubiri...
Sio viongoz sio mashabiki wote wanajizima data yani kiukweli wanatia aibu na kuidharirisha taasisi kubwa kama ile, sasa oneni alichoondika afisa habari wenu.
#Ahmed ally
Hadi sasa hakuna elie...
Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana...
Sijui hawa jamaa (mashabiki wa Simba SC) huwa wana nini?
Ngoja tusubiri mpira mkali Fainali ya Mabingwa Afrika ya Wydad Casablanca na Al Ahly, hii ni Fainali ya pili ambapo mwanzo walitoka kwa...
Kabla ya yote ninapenda michezo, ila hili lililotokea jana usiku ni si la dunia hii. Yaani waziri na katibu wake wametumia kabisa magari kutoka mbali, sijui Dodoma kuja mlimani city kufanya kitu...
Ukiwa na Akili timamu utanielewa kwanini nimesema hivi ila ukiwa Masikini wa Fikra / Akili hutonielewa kamwe.
Bado Simba SC itaendelea kuwa Klabu Kubwa na yenye Hadhi ya Juu kuliko Timu nyingine...
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Clement Mzize amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo...
Kutokana na propaganda zilizoenezwa na zilizodumu msimu mzima, ni rahisi sana kuamini Simba wamekuwa timu ya hovyo na rekodi ya hovyo sana msimu huu.
Nilishawahi kuleta uzi nikikumbushia Simba...
Nadhani kama Wanasimba tujiulize, kama magoli ya Saido siyo ya mchongo au bahash, Kwanini huyu mwamba wetu mzee Saido alishindwa kutuokoa pale mjini CAF champions?
Point of reference: Mayele...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ile game ngumu na ambayo inafuatiliwa kwa ukaribu sana na watu wote wapenda soccer la africa, game ya robo final ya caf champions league baina ya miamba kwelikweli...
Jamani,mimi ni shabiki wa Nadal.Binafsi ningependa leo Djokovic ashindwe,ila ndo hivyo anakwenda kushinda.
Na kuanzia leo ninamkubali Djokovic kweli yupo strong kimental.
From team Nadal
Wewe...
Yes Yanga mabingwa tena la 29 kibindoni sio ubingwa tu pia wanamedali za Caf shirikisho kama mabingwa waliofanana, sio Caf tu pia wana medali za ngao ya jamii waliyoipata baada ya kumnyoa Simba...