Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
0 Reactions
47 Replies
2K Views
Baada ya mechi 2 za Yanga na Al hilal nikaona nisubiri mechi ya leo ili nifanye hitimisho km kweli Nabi ana uwezo wa kuiwezesha Yanga kufanya vzr kimataifa au laa. Nisema tu Yanga wasitarajie...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Tumeingiza wachezaji wawili kwenye kikosi bora cha wiki kwenye π‹πˆπ†πˆ π˜π€ πŒπ€ππˆππ†π–π€ π€π…π‘πˆπŠπ€ Jean Baleke anaongoza mashambulizi, Inonga anaongoza eneo la ulinzi Yaani kwa ufupi ni kwamba Afrika nzima...
4 Reactions
13 Replies
890 Views
Yanga ingefungwa jumapili ijayo angejifutua kanisani kudai aliongea na Roho Mtakatifu!
1 Reactions
2 Replies
426 Views
Imekua ni TABIA sio TZ tu hata huko duniani matajiri wengi hununua au kuwekeza kwenye Team za mpira na timu hizo sio haba huwa zinafanya vizuri sana. Matajiri haswa wa Mafuta hupendelea kuwekeza...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Viongozi wa Yanga SC waliokanusha kuwa Kocha Nabi hana Mpango wa Kufukuzwa ni Waongo na Wanafiki. Ukweli ambao GENTAMYCINE ninao kutoka katika Vyanzo vyangu Ndani ya Klabu ya Yanga SC ni kwamba...
8 Reactions
48 Replies
4K Views
Kiufupi Inawezekana. Nyie wote ni Magiant Ndio maana mmebaki nane tu ; mnaweza kuitoa Wydad hata wakiwa na Vitimbi vipi. Mkiitaka hii mechi kama wanavoitaka Wydad , mtatoboa. ILA mkienda na...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Kulibeza kombe la shirikisho haisaidii kitu, jifunzeni kutoka kwa Yanga wamewezaje kuikaribia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwenye historia ya nchi yetu,Simba lwamecheza kombe hili mara moja...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Tunaomba mrejesho juu ya uanzishwaji wa mfumo wa shea, maana hatuna taarifa rasmi.
1 Reactions
1 Replies
655 Views
Tulia Ackson Mbunge wa Mbeya Mjini, Mbeya City FC na Prison ziko kwenye hatari kubwa ya kuporomoka daraja. Una mikakati gani ya kuzisaidia hizi timu? Tunajua umekuwa unajinasibu kuwa wewe ni...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Nakumbuka yanga waliondoshwa kwenye mashindano ya klabu bingwa na Rivers baada ya kuchapwa goli moja bila kwa mkapa na kisha kufungwa tena moja bila kule Nigeria, Yanga walipoteza mechi zote mbili...
15 Reactions
21 Replies
2K Views
NI ndoto inayotisha. Pambano la Simba dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco ni ndoto inayotisha. Simba wametoka kufungwa jumla ya mabao 6-1 katika mechi mbili walizocheza na Raja, timu nyingine...
11 Reactions
29 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Wakuu hebu tumalize huu ubishi wa muda mrefu kwa kupiga kura nani alikuwa mkali uwanjani katika suala zima la ufundi ndani ya uwanja na kuisaidia timu yake kati ya Zinedine Zidane na Ronaldinho...
7 Reactions
178 Replies
38K Views
24 April, 2023. Geita Gold FC vs Tz Prisons. Over.
0 Reactions
2 Replies
868 Views
Timu ya soka ya Tanzania Prisons maarufu kama Wajelajela yenye makazi yake jijini Mbeya, leo hii imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao matatu kwa moja dhidi ya Geita Gold fc. Mchezo huo ambao...
1 Reactions
5 Replies
718 Views
Kwenye Picha Hapa Chini Ni Machachari Anaye Chukiwa na Maadui Akiwa na Wenzake Katika Uwanja wa UYO AIRPORT. Watatu hawa walikuwa na wachezaji waenzao wakikwea pipa kurejea Bongo katika pambano...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Salam wakuu Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine Turudi kwenye uchambuzi wetu Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia...
7 Reactions
109 Replies
5K Views
1. Fiston Mayele - 5 2. Kennedy Musonda -2 3. Jesus Moloko -1 4. Tuisila Kisinda -1 5. Mudathir Yahya -1 6. Farid Musa -1 Jumla ya magoli -11 Magoli ya kufungwa 4 Wapiga Assist wa Yanga SC...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Yanga wakiwa hawana mpira shape yao ilikuwa 5-3-2 ,lengo la kwanza lilikuwa ni kuwa na vitendo vingi vya kiulinzi(defensive actions) kwenye idara ya kiungo na ulinzi(zone A na B). Ile pembetatu...
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Wananchi kama mnavyojiita tumieni concept hiyo niliyowapa haihitaji akili kubwa kuelewa ninachokimaanisha. Kubarini TU kuwa Mnyama sio level yenu, ndo maana baada ya mechi na Wydad wapo...
1 Reactions
1 Replies
216 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…