Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kitabu kinapatika kwenye maduka yote ya kuuza Vitabu.
3 Reactions
6 Replies
243 Views
Wakuu, habari zenu? Nianze kuunga mkono kwa Yule ambaye atasema "Bara la Africa limelaniwa" pasipo na shaka Wala dukuduku lolote kutoka moyoni yupo sahihi. Hii haiwezekani hizi hujuma ambazo...
3 Reactions
33 Replies
963 Views
Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura...
12 Reactions
61 Replies
4K Views
CAFCL: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions Mechi inaanza muda huu kaa tayari....
4 Reactions
212 Replies
7K Views
FT: 0-0 Takwimu Possession: Hapa Yanga wali-dominated umiliki wa mpira kwa asilimia (69%) wakati MC Alger (31%). Mashuti: Yanga walikuwa na mashuti 18 wakati MC Alger's 3, Lakini hakuna...
7 Reactions
17 Replies
707 Views
Huyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana. Uto tumekuja...
8 Reactions
15 Replies
817 Views
Habari wadau Mimi kama mwanayanga usajili wa israel mwenda umeniumiza sana. Mwanzo wa msimu tulikuwa tunawaza kutwaa ubingwa wa africa. ila engineer katugeuka mapema sana Engineer amebadilika...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Manara Ni kama vile amefurahia kilichoipata Yanga Siku ya jana. Nanusa harufu ya hujuma dhidi ya Yanga.
8 Reactions
70 Replies
4K Views
Good Bye Yanga !! Mpaka mwakani. Njia pekee ya Yanga kushinda mechi zote zilizobaki 😃😃 Yani amfunge Al Hilal Nyumbani kwao na amfunge Mwarabu kwa Mkapa, Walichobakiza Yanga ni kukamilishe Ratiba
8 Reactions
152 Replies
7K Views
Ukiwa umecheza Mpira au unajua Kuuchambua Mpira au umesomea Ukocha basi nina uhakika wa 100% kuwa utanielewa GENTAMYCINE kwa hili ANGALIZO langu Tukuka kwa Yanga SC kuelekea Mechi yao muhimu na ya...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimeona mtu mtandaoni kapost kitu halafu watu wamemchapa maswali kisha kashindwa kujitetea. Post yake ni Rekodi muhimu Yanga akishinda 18.01 • Kuingia top 5 ya vilabu bora Afrika • Timu ya...
17 Reactions
78 Replies
3K Views
Tukutane hapa hapa baada ya dakika 90+5
6 Reactions
18 Replies
275 Views
Wawekezaji tumefurahi yanga kufumuliwa hatua ya makundi Ili nguvu zote azielekeae ligi za ndani Ili tuanze kupiga minotii japo Leo nimepata ya supu ila pia nimefurahi yanga kutolewa pia ila kazi...
0 Reactions
5 Replies
287 Views
Ni siku ya 18/1/2025 ambapo Yanga ilipoteza points dhidi ya MC Alger na kutofuzu robo fainali . Wana Uto walilia sana
5 Reactions
13 Replies
816 Views
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama. Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo...
5 Reactions
45 Replies
785 Views
Habari za saizi aise, Naombeni kwa anajua vizuri CV ya huyu engineer atuambie 1. kazaliwa wapi na lini? 2. Anaasali ya Somalia /Eritrea au Ethiopia? 3.Yeye na mmiliki wa GSM (ghalibu said)...
3 Reactions
130 Replies
44K Views
Wakuu kesho kuna mchezo wa kukata na shoka baina ya Yanga sc vs mc alger, sasa katika dodoso zangu nimemuuliza mtaalamu mmoja kutoka unguja amenijuza mpaka sasa kwa yeye anavyoona ubao unasoma ni...
1 Reactions
24 Replies
916 Views
Baada ya kuangalia michuano yote based on. Stiffness/ ugumu .na ubora wa wachezaji na ukamiaji wa timu na timu/ udhaifu wa michuano ya shirikisho mbele ya club bingwa Leo wachambuzi tumekuja ku...
2 Reactions
26 Replies
729 Views
Klabu ya TP Mazembe imeshindwa kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF) mwaka huu baada ya kufungwa bao 1-0 na MC Alger katika mchezo uliochezwa usiku wa Januari 10. Timu...
6 Reactions
88 Replies
4K Views
Back
Top Bottom