Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hii kauli ya kanjibai kwa wanasimba ingekuwa kwa wana yanga kusinekucha kuachia ngazi. Sema wanasimba hawajali sana wapo wapo tu. Ifike wakati wanasimba tuamke bora timu iwe kama PRISON kuliko...
8 Reactions
64 Replies
3K Views
Kama mashabiki wa Simba hakika tumekubali unyonge sema tu hakuna la kumfanya huyu big boss wetu, naye ameshalijua hilo. Anaongea analojisikia, anafanya analojisikia, mara Rais wa heshima, akajipa...
12 Reactions
56 Replies
3K Views
Karibuni tena katika mechi kubwa ya kimataifa baina ya miamba wa soka hapa Afrika ya Mashariki, Uganda dhidi ya Tanzania katika kutafuta nafasi ya kufuzu Afcon 2023. Mechi hii itapigwa kuanzia...
6 Reactions
245 Replies
16K Views
Akihojiwa na Grobal online tv, Raisi wa heshima wa Simba ambaye pia ndiye mwekezaji pekee wa klabu hiyo ndugu Mohamed Dewji ametoa majibu haya.... Swali: Kumekuwa na Taarifa kuwa kwenye Usajili...
3 Reactions
57 Replies
3K Views
''Timu hizi zinajiendesha kwa hasara kwa miaka mingi ndio maana zimekwama. Ukisema hivi mtu anaweza asikuelewe lakini ukitazama mapato ya klabu na matumizi ndio utajua kwanini zinajiendesha kwa...
6 Reactions
74 Replies
7K Views
Tanzania nakupenda nchi yangu hongereni sana vijana wetu hakika leo mmejitoa kila mtu kafanya majukumu yake, hongera sana benchi zima la ufundi hongereni mashabiki mliojitokeza kuipa joto Taifa...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwambieni bwana mdogo Kuna Caf champions league "Cafcl" na kombe la malooser" CAF confederation cup 'cafcc'. Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!. Miaka ya nyuma hawa watu walioitwa wachambuzi wa kandanda akiwemo Shaffih Dauda na wenzie wametupiga sana ndoige kuhusu Kandanda na historia yake ni...
10 Reactions
33 Replies
4K Views
Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Kampuni ya GSM Eng. Hersi Said amewashukia baadhi ya wadau wa soka nchini Tanzania walioibua hoja inayogusa udhamini wa kampuni hiyo kwenye klabu za Ligi Kuu Tanzania...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Siku zote tumekuwa vibonde wa majirani zetu Uganda, Takwimu zinaonesha kuwa tumekutana nao mara 24 na wametufunga mara 13 na tumewafunga mara 6 na tumedroo mara 5! Tunakwama wapi aseee? 😂😂Hapa...
2 Reactions
5 Replies
636 Views
1. Aishi manula 2. Kibwana shomari 3. Kuhende 4. Job Dick 5. Mwamnyeto 6. Sospeter bajana 7. Msuva Simone 8. Yusuph Kagoma 9. Samata 10. Feitoto 11. Sopu Kocha ukipanga tofauti na hapo tunapigwa...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Klabu ya soka Tanzania kutoa mchezaji wa kuitwa national team kwa timu ambayo iko ranked na FIFA no 2 Africa? Hii rekodi inaweza isivunjwe kabisa Kwa mda mrefu sana au isivunjwe kabisa.
10 Reactions
21 Replies
2K Views
Picha: Julian Nagelsmann Bayern Munich ambayo imetwaa ubingwa wa Bundesliga mara 10 mfululizo, imekuwa haioneshi ubora uwanjani, ikiwa inashika nafasi ya pili katika ligi hiyo, nyuma ya Borussia...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa wapenda masumbwi wote, habari zenu. Ni habari za kusikitisha kusikia kwamba yule nguli wa masumbwi aliyepata kuwika duniani , pretty boy, money maker Floyd Mayweathear jr the hall of famer...
1 Reactions
2 Replies
700 Views
Sio wote wanaoitwa timu zao za taifa wanaenda kucheza, la hasha. Wengine wanaitwa kama comedians ili kwenda kuwafurahisha wachezaji wengine. Hivyo sio kila national team call up ni ya kufurahia...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Kama Mo hapati faida aondoke aje tajiri Bakhresa hana majivuno. Huyu Mo anakera na kutulingishia sana utajiri wake kama anaona anapata hasara si aondoke zake aiache Simba? Why jezi ya Simba imejaa...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Sadio Manè just posted this video of Pape Sakho dancing in Senegal’s camp with the caption: “Simba SC look at your player become a dancer.”
16 Reactions
79 Replies
9K Views
Kuna Mtu alivaa Suti ya Kizee na Kiserikali ila wala Waziri Mkuu alikuwa hampi Yeye Maelekezo ya Kuchukua Pesa za Serikali badala yake Maelekezo yote alikuwa akipewa Mtu Mwerevu Mweledi Ahmed Ally...
1 Reactions
5 Replies
504 Views
Goli alilofunga Mayele dhidi ya US Monastir katika moja ya mechi za CAFCC Limetinga na kuwa moja ya goli bora kuwahi kutokea CAFCC. Tazama Link Hongera Mayele.Hongera Young Africans SC.
2 Reactions
32 Replies
3K Views
KILA nikiwafikiria Mamelodi Sundowns [emoji1221] siombei wakutane na Simba kwenye Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Jamaa wanatisha balaa. Ni bora wakutane na kinara wa kundi A ambaye kuna...
11 Reactions
133 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…