Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Tabia Maulid Mwita (katikati waliosimama) akishuhudia utiaji saini wa mkataba wa ushirikiano wa kibiashara na...
Kuna heka heka kikao kinaendelea kwa ajili ya serikali kutangaza siku 7 za mapumziko kwa taifa kwa ajili ya kusherehekea ushindi wa magoli 7 ya simba.
Ushindi huo ni historia na haijawahi kutokea...
Naamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mechi.
Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya...
Nafuatilia mechi zote za CAF Champions League naona kabisa huyu mwarabu mweusi wa Sudan anajua anachokifanya, naona game ya leo itaisha kwa kunyanyusha hawa Cotton Sports.
Tukutane robo fainali...
Mimi ni Mwanayanga kindakindaki ila hii kasi ya Simba kumfunga Horoya huku kila hili lilies sawa na milioni 5 wasije kusababisha mishahara ya mwezi huu ikachelewa. Simba punguzeni speed msije...
Nawalaumu mno FIFA kwa Kuamua hivi kwani kwa Waafrika tunavyojijua na tunavyojuana pamoja na Kuingiza Timu (Nchi) Kumi (10) kutoka Bara la Afrika bado tutatoka tu Kapa / Peupe.
Kwangu Mimi...
Nyota wa klabu ya Simba Sports, Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye kikosi cha wachezaji 24 cha timu ya Taifa ya Senegal chini ya Kocha Mkuu Aliou Cisse kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu AFCON 2023...
Simba atamkaribisha Horoya Jumamosi hii pale kwa Mkapa huku Yanga atamkaribisha Monastir siku ya Jumapili!
Ikumbukwe Simba alichapwa bao 1-0 na Horoya ugenini na Yanga alilazwa bao 2-0 na...
Kama nilivyo jieleza hapo juu, nawezaje kuwapata hawa watu? Nimesoma ngumi zao, nikaona hata mimi naweza kumbe!
Nahitaji kuwafumua hawa watu, nipeni connection ya kuingia katika huu mchezo...
Kilichowapata leo Horoya kimewastaili kuwapata. Hawakuiheshimu Simba hata kidogo kwanzia kiakili na kifikra hadi kimbinu. Rais wao anaongea wazi wazi dharau, hata kama ilikuwa ni jambo lenye...
Wachambuzi wale wa kibongo karibia radio stations zoooote naona wanaisodoa sana Simba na kuwapa nafasi kubwa Yanga ya kufuzu nusu fainali.
Wachagoat hawa wanatumia misamiati mingi sana na kucheza...
Sheikh Jassim bin Hamad Al Thani wa Qatar na Sir Jim Ratcliffe wa Uingereza ndio wawekezaji walioweka dau rasmi kwa lengo la kuichukua klabu kutoka kwa wamiliki wa sasa Familia ya Glazer ambao...
Salaam Wana jf
Kama wahenga walivyosema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha basi ndicho kinachotokea baada ya ndugu zetu kuomba siku zisiende ili siku ya mechi isifike hatimaye muda umefika...
Habarini wana michezo.
Moja KWA Moja naomba kupata ufafanuzi juu ya upangwaji wa Timu mwenyeji katika mashindano ya Azam Confederation cup hatua ya robo fainali na hatua za nyuma yake kama hatua...
Huyu kambole alidhihakiwa sana hasa na ndugu zetu wa Simba wakiongozwa na wachambuzi uchwara km Jemedari Said..
Wakaenda mbali zaidi paka kumuita msukule..
Sasa Leo hii ndio mshambuliaji tegemeo...