Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ninaipongeza klabu ya Yanga kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye ku design jezi. Jana zimezinduliwa jezi za kiwango haswa mpaka mashabiki wa Simba wakizitamani. Lakini moja ya jambo ambalo kwangu...
3 Reactions
75 Replies
6K Views
"Zile zama za kuwa na mkataba sare sare maua zimepita. Kwa miaka ya hivi karibuni Simba tumewekeza vya kutosha ili kuhakikisha brand yetu inakua,"- Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano...
14 Reactions
320 Replies
20K Views
Ndugu zangu wa Simba hili sakata la Malalamiko ya SportPesa kwa uongozi wa Yanga lisitupotezee muda tukashindwa kujadili mambo muhimu yanayohusu klabu yetu ya Simba na maendeleo yake. Tunatakiwa...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Kuna Jogging Club moja mahala fulani Mwenyekiti na Katibu wanatuhumiana kwa Mmoja kumzidi Mwenzake idadi ya Wanawake aliyolala nao. Na katika Jogging Club hiyo hiyo Wanawake wakikimbia muda Wote...
3 Reactions
8 Replies
754 Views
Tatizo hapa sio mdhamini. Tatizo ni viwalo. Yanga wako tayari kutoa pesa zozote kuvunja mkataba ili wabadili viwalo. Lile neno sport pesa limeshawachosha tu.Yanga ni kama mke tu wa manara...
1 Reactions
6 Replies
801 Views
Endeleeni kudhani mnavyowafanyia Wazawa/ Waswahili wenzenu na wananyamaza basi itakuwa hivyo hivyo pia kwa Wazungu hata kama Kampuni zao zilizoko nchini Tanzania zinaongozwa/ zinasimamiwa na...
1 Reactions
9 Replies
777 Views
Spotpesa na Dar Young Africa, akili kubwa sana[emoji123]. Wala haihitaji nguvu nyingi akili ikijitosheleza. Maana mantiki na malengo ya matangazo ya biashara ni jamii au umma unaolengwa kama...
12 Reactions
18 Replies
2K Views
Hakika nimeshangazwa sana na wazee wa Yanga kuleta siasa kwenye mpira. Kuna wakati Yanga waligoma kuvaa jezi zenye nembo ya Twiga mwenye rangi nyekundu ambaye ni nembo ya mdhamini wa ligi kuu...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Katika mechi ya Sporting vs Benfica Jana, Mwamuzi alitoa kadi nyeupe Mchezoni. Kwa wengi waliozoea kadi ya Njano na Nyekundu tu Mchezoni, tukio Hilo liliacha maswali. Wataalam wa soka wanafafanua...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Sina Mengi ya Kusema hii Article ya Gab Marcoti paints a Better Picture:- Trying to make sense of Chelsea's transfer spree: big gambles, but big rewards too? The dust has settled, and the numbers...
1 Reactions
1 Replies
544 Views
Huu uzi ukiuona huko mtandaoni unaita kwelikweli, tafuta sasa wa uhalisia, utajua hujui. Anyway sio wa kuuzwa elfu 50, wana Yanga SC tunapigwa hapa
1 Reactions
49 Replies
4K Views
Hello. Naiona Yanga wakichukua ubigwa wa mwaka 2022/2023 wa NBC premier ligi ikiwa imebaki pointi 21 watangazwe ubigwa. Naiona Arsenal ikienda kuchukua ubigwa wa Epl mwaka huu. Huu ni utabiri...
1 Reactions
3 Replies
270 Views
Najua Kocha Mgunda ni Muoga na aliogopa Lawama Kumtoa ila kama kuna Wachezaji ambao leo wamecheza hovyo / vibaya na najua Kocha wangu Mkuu, Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira angekuwepo angewatoa...
12 Reactions
49 Replies
4K Views
Hilo ni swali ambalo Mmiliki wa liverpool John w.Henry aliwahi kuuliza hasa msimu wa 2012/2013 pale ambapo Arsenal walitaka kumsajili Suarez kwa Paund mil. 40 wakaambiwa waongeze hela wakaongeza...
16 Reactions
55 Replies
7K Views
MPAKA leo ni nani ambaye anaweza kuelewa mshambuliaji wa Mkongomani, Cesor Manzoki alikuja kufanya nini katika mkutano mkuu wa Simba? Ni ngumu kujua. Ni mshambuliaji ambaye Simba ilimkosa katika...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Mlitumia nguvu kudai kuwa kiungo mahiri nchini Feisal Salum amekiuka masharti ya mkataba kwa kuamua kuvunja mkataba wake na sasa mmemuandikia barua mkimtaka arudi kambini ingawa yeye hana tena...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari. Ningependa kufahamu Kocha mpya wa simba aliyetambulishwa mwezi uliopita yuko wapi. Kuna Yoyote mwenye Taarifa rasmi.
0 Reactions
11 Replies
854 Views
Itaidhamini katika mashindano ya kombe la shirikisho ambayo klabu ya yanga inashiiriki Mkataba huo wenye thamani ya shilingi bilioni moja na millioni Mia tano utaisaidia yanga katika mashindano...
20 Reactions
191 Replies
13K Views
Hizi timu zetu zina uongo uongo mwingi. Simba walitangaza kuwa watapokea 4.5bil kwa mwaka kutoka M-BET kama main sponsor, ajabu kwenye kusoma Mapato ya Mwaka 22/23 M-BET anatoa 2.5bil Ilitamkwa...
14 Reactions
67 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…