Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yaonyesha kuna ugumu wa kupata wachezaji wazuri dirisha dogo. Hawa wasemaji wetu wa timu hizi kubwa wameanza kutamba hata kabla dirisha kufunguliwa kwa maneno ya kuvutia na kutisha kuelekea...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Katika uendeshaji wa timu wa muda mrefu na sio kutaka mafanikio ya haraka haraka na kuua timu, kocha anayefaa kuigwa ni Arsene Wenger..., Mashabiki wa Arsenal inabidi wafikilie sana wanachokitaka...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mbona kama wametupiga sound hawa watu wa Yanga. Walizindua chanel yao kwa mbwembwe ila mpaka sasa mbona hatuioni, au ni mimi ndio sijui namba ya chaneli?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakali wa London, Chelsea leo wanaanza likizo baada ya likizo ya Kombe la Dunia. Ni mchezo wa derby ya London ya Magharibi, Fulham Vs Chelsea. Baada ya kipindi cha muda mrefu Chelsea kupitia...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Habarini, Naanza. Bila Shaka huwa unaona au kusikia kwamba soka au mpira wa miguu yaani "Football" ni biashara kubwa sana tangu miaka mingi. Unapona vilabu vikubwa kama Manchester United, FC...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Chama cha soka nchini TFF hatimaye kimeridhia ombi la klabu ya Simba na hivyo kuamua kusogeza mbele mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya City Ulivokuwa ufanyike tarehe 17/Jan. Hatua iyo...
2 Reactions
66 Replies
3K Views
Hatimaye leo hii Fainali ya Mapinduzi Cup inaenda kupigwa kumtafuta Bingwa mpya msimu huu ambapo ni kati ya Singida Big Stars dhidi ya Mlandege kutoka Zanzibar majira ya saa 2:15 usiku. Singida...
4 Reactions
46 Replies
4K Views
Je ni jambo gani? Tukutane saa 4:00 usiku
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Klabu kongwe hapa nchini Simba S.C ipo mbioni kukiandikia barua chama cha soka nchini TFF ya kuomba kusogezwa mbele kwa mchezo wao wa ligi ya Nbc dhidi ya Mbeya city uliopangwa kupigwa tarehe 17...
7 Reactions
85 Replies
6K Views
Yaonyesha wazi serikali imebariki hizi bahati nasibu zinazotamba kwenye baadhi ya redio hapa nchini. Watu kwa maelfu wanavutiwa na watangazaji kucheza michezo hiyo ambapo kima chake ni shilingi...
0 Reactions
2 Replies
755 Views
Simba S.C inatarajia kushuka dimbani tar 15 Jan kucheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya timu dhaifu ya Al dhafra inayoburuza mkia kwenye ligi nchini mwake ikiwa haijashinda mchezo wowote...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Taarifa mpya na kubwa kutokea kambini mwa Simba huko Dubai ni kocha Robertinho kumpa zawadi Kibu Denis. Sababu ya kumpa zawadi hiyo ni kuridhishwa na Kiwango kikubwa cha ufungaji kilichooneshwa...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
TFF ndio baba wa mpira Tanzania, ndicho chombo kikuu cha mpira nchini, ndio wenye mpira wao. Kama TFF imethibitisha kuwa Fei Toto ni mali ya Yanga haitoshi kuishia hapo tu, bali lazima waseme ni...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Hii ni article ya muandishi Gab Marcotti aliyeamua kumuangalia Messi kwa dakika zote aone anchofanya - very interesting read... DOHA, Qatar -- The conceit was simple, ahead of Argentina's final...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Zikiwa zimesalia siku tatu kabla ya dirisha la usajili kufungwa, klabu ya Simba ipo mbioni kuwatema wachezaji hao ili kupisha nafasi ya kusajili wachezaji wapya. Ikumbukwe nafasi za wachezaji wa...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga a.k.a Mandonga mtu Kazi anatarajia kuzichapa na bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi. Pambano hilo litafanyika Jumamosi, Januari 14, 2023 nchini Kenya. Pambano...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Yanga: Tunamuunga mkono manara kudai haki vyombo vya juu zaidi Klabu ya Yanga imesema kuwa adhabu ya Ofisa Habari wao, Haji Manara kufungiwa miaka miwili kujihusisha na soka na faini ya Tsh...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Kamati ya Rufaa na Maadili ya Shirikisho la Soka nchini TFF chini ya Mwenyekiti wake Richard Mbaruku imempungizia adhabu Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara kutoka Tsh. Milioni 20 hadi Milioni...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Kwa misimu mingi klabu ya Azam FC inahangaika sana kupata kocha atakayeifanya Azam iwe klabu tishio uwanjani. Kwa maoni yangu kuna makocha wawili wazawa ambao wakipewa hii timu ya Azam wanaweza...
6 Reactions
70 Replies
3K Views
Kudadadeki GENTAMYCINE sijawahi Kumpenda na Kumsifia Mchezaji Mbovu au Mchezaji ambaye hafanyi kile nilichomsifu nacho. Nikisema au Nikichambua huwa nakuwa nina uhakika kwani hata huo Mpira...
8 Reactions
47 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…