69' Julian Alvarez anafunga goli la tatu akimalizia kazi nzuri ya Messi
60' Timu zinashambuliana kwa zamu
58' Messi anakosa nafasi nzuri, shuti lake linapanguliwa na kipa
55' Argentina wanaamka...
Shirikisho la Soka la Morocco (MFF) limetoa tiketi 13,000 kwa mashabiki wa timu yao ya taifa kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Nusu Fainali dhidi ya Ufaransa, Jumatano Desemba 14, 2022.
Ndege za...
Takwimu zinaonesha Croatia hakubahatisha kum funga Brazil! Alitawala mpira zaidi, alizuia (clearances) zaidi, na alikuwa makini zaidi kwa asilimia 100 alipopata kulenga goli (shots on target)...
Tuseme ukweli, Ufaransa haina cha zaidi kuliko hispania wala ureno!
Siyo muujiza kwa Morocco kuifunga ufaransa kama iliweza kuifunga hispania. Kwanza Ufaransa ndio wako kwenye presha ya mchezo...
Pesa ya Kombe la Dunia huko Qatar 2022 hii hapa: • Winner - USD $42m (97.9b tsh) • Runner-up - USD $40m (93.2b tsh) • Third Place - USD $27m (62.9b tsh) • Fourth Place - USD $25m (58.3b tsh) •...
Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.
Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.
Vamos Argentina.
Kwa hasira nilizonazo sina muda na Salam!
Hii ni habari mbaya sana kwa Mashabiki wa Soka hasa Mashabiki wenzangu wa Simba Sc. Kwanini Mo Dewji unatufanyia hivi lakini?
Muda wowote tajiri...
Ninaposema kuwa GENTAMYCINE ni habari nyingine katika kuzipata zile za ndani ambazo huwa mnazificha muwe mnanikubali sawa?
Na najua baada ya uzi wangu huu mtaandaa counter ili kuja...
Habari za ndani kabisa tulizozipokea zinaeleza ya kuwa mojawapo kati ya hizi klabu mbili kongwe hapa nchini ipo mbioni kupigwa mnada.
Japo chanzo chetu cha kuaminika hakijaitaja moja kwa moja...
Haya mashindano mnayaharibu kwa kupanga timu za daraja lisilojulikana na timu za ligi kuu.
Ingependeza kuwepo kwa mchujo kabla ya kukutanisha hizi timu.
Yanga
Azam
Simba
Watafunga hata goli 30...
Hiyo ambayo naiona itafuzu Robo Fainali (CAFCL) kama ilivyozoea sasa ijipange zaidi kwenda hadi Nusu Fainali na ikibahatisha ifuzu Fainali japo kwa Kikosi chake cha sasa na Migogoro iliyopo hilo...
Panama, Mauritania, Georgia na Eritrea ni nchi nne zenye takribani saizi sawa za watu wa Kroatia.
Mataifa hayo manne yanashiriki mechi moja ya Kombe la Dunia baina yao na hiyo ilikuwa wakati...
Rekodi za timu kutoka Africa kombe la Dunia 2022 ..
[emoji3591]Ni mara ya kwanza team kutoka Africa inapata ushindi dhidi Ya bingwa mtetezi wa kombe la Dunia, Tunisia waki pata ushindi dhidi ya...
Yaani Tanzania tunahangaika bado Usiku na Mchana Kufuzu AFCON Yeye analaximisha mwaka 2030 Tanzania tucheze World Cup.
Rais Samia huyu Mtu ulimtoa wapi?
Nimekusikia Clouds Tv na Radio Leo ukikitaka Chuo cha Michezo cha Serikali nchini cha Malya kufanya Tafiti kujua kwani Tanzania haiendelei Kisoka.
Nami MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually...
Naongea kama Mpenzi wa soka, mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni, Barbara amefanya Makubwa kuboresha soka la Tanzania na kulitangaza kimataifa. Alikuwa na madhaifu kadhaa kama binadamu lakini hakika...
Na mkimaliza kutuomba huo Msamaha mkubali kuwa kuna Watu Wengine hapa JamiiForums wanayajua yale ya Ndani yaliyojificha zaidi yenu hivyo wakiwa wanayasema hapa JamiiForums muwe mnawashkuru na...
Hivi karibuni kuna kocha wa makipa alikamatwa na madawa ya kulevya. Haraka haraka simba wakatoa taarifa ya kumkana kuwa hakuwa mwajiriwa wao japo.
Mda utaongea zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.