Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Watu wa Soka, Tunapenda kuwataarifu wapenzi na mashabiki wetu kwamba Jumatatu ya Agosti 01, 2022 timu yetu iliwasili salama Makao Makuu mkoani Singida, ikitokea jijini Arusha ilikoweka kambi kwa...
2 Reactions
7 Replies
964 Views
Timu ya Taifa ya wanawake U17 Serengeti Girls imefanikiwa kufika hatua hiyo baada ya kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Canada katika michuano inayoendelea Nchini India. Matokeo hayo ya Kundi D...
6 Reactions
57 Replies
3K Views
Sadio Mane apata tuzo nyingine ya Socrates kutokana na mchango wake kwa jamii. --- Sadio Mane has received France Football's inaugural Socrates Award, in recognition of his charity work in his...
2 Reactions
8 Replies
892 Views
Washabiki wa Simba na yanga tuna matatizo kweli, haswa hawa mamluki kama GENTAMYCINE kwa upande wetu simba, sasaivi Simba imefanya vizuri kuvuka hatua ya makundi kimataifa. Cha ajabu Hawa...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Usiku wa leo, kwanzia saa 1:00 usiku kutakuwa na hafla ya ugawaji wa Tuzo za Ballon d'Or. Katika hafla hiyo, kutakuwa na mchezaji bora wa dunia kwa upande wa wanaume na upande wa wanawake...
7 Reactions
82 Replies
6K Views
"Al Hilal FC ilikuwa ni mfupa mgumu kwetu Yanga SC. Wachezaji wa Yanga SC wanadanganywa na igi nyepesi ya Tanzania. Yanga SC wangecheza kwa intensity kubwa kama wa Azam FC, ile Mechi ya Sudan...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia. Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani...
12 Reactions
115 Replies
6K Views
1. Yanga SC inacheza ligi nyepesi ya Tanzania. 2. Wachezaji wa Yanga SC hawajitumi ipasavyo. 3. Wachezaji wa Yanga SC wameshalewa mafanikio. 4. Upangaji wa kikosi cha Yanga SC ni mbovu sana...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu Hii tuzo wamemnyima tu Sadie Mane lakini ndiye alistahili. Timu Bora ya mwaka wameipa Man City, lakini ni Liverpool au Real Madrid ndio walistahili. Mawazo yangu hayo yamebeba tafsiri ya...
0 Reactions
2 Replies
395 Views
Serikali ni lazima iikaripie Yanga na kuilazimisha kuondoa alama ya Mwenge kwenye logo ya club hiyo. Ni aibu, tunasema Mwenge umulike mpaka nje ya mipaka yetu, lakini Yanga wamekuwa wakienda...
1 Reactions
4 Replies
532 Views
PLAY OFF CAF CCC KUWAKUTANISHA 🇹🇿 Simba SC 🇨🇩 Tp Mazembe 🇲🇦 RS Berkane 🇪🇬 Pyramids 🇩🇿 JS Kabylie 🇳🇬 Enyimba 🇹🇳 CS Sfaxien 🇨🇲 Coton Sport 🇿🇦 Orlando Pirates 🇪🇬 Al Masry Wakati MAKOLO FC...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Al Hilal japo wameiondoa Yanga lakini naiona ni timu dhaifu sana, ni kwa sababu Yanga imejaza sana majina kuliko uwezo wa wachezaji wenyewe. Wanadhani kuwa na majina makubwa ndiyo ukubwa wa timu...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Naona nyuzi za mashabiki wa Simba humu jukwaani zimekuwa nyingi, zikijimwambafai kuifunga Yanga Jumapili. Najua mashabiki wenu wanajiamini kupita kiasi baada ya kuwafunga Ihefu ya Angola na...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Inadaiwa kuwa klabu hiyo ya Aston Villa ipo katika mipango hiyo ya kumuwania Mauricio Pochettino kutokana na matokeo mabaya ambayo wanayapata chini ya Steven Gerrard. Gerrard amekuwa katika...
0 Reactions
3 Replies
757 Views
Binafsi napenda tupangiwe kundi moja na Wydad Ac Al hilal Coton sport de Garoua Je wewe ungependa tukutane na timu gani?
1 Reactions
11 Replies
976 Views
Kwangu mimi Yanga kama timu tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kufanya vizuri chini ya kocha Nabi kwa takriban msimu mwingine tena na kiukweli tutazidi kuimarika kadri timu inavyoendelea kuwa pamoja...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Ni taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho...
15 Reactions
27 Replies
3K Views
GENTAMYCINE nimekuwa nikitumia Nguvu Kubwa sana hapa JamiiForums Kuwashaurini na hata kwa Kuwaongoza kwa yale msiyoyajua ila mmekuwa mkinipuuza hivyo sasa acha yakupate na yatupate ili tushike...
29 Reactions
106 Replies
9K Views
Nawashauri viongozi wa Simba, mechi yetu na Utopolo safari hii tuache mzaha, tumefuzu group stage lkn furaha yetu kuelekea krismas ni kumuua utopolo tu, haiingii akilini kila tunapocheza nao...
1 Reactions
6 Replies
548 Views
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Nijikite kwenye mada, Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Back
Top Bottom