Naaaaam, baada ya Simba kufuzu hatua ya makundi kwa mbinde, imebaki zamu ya Azam, kipanga na Yanga.
Azam wanaongoza kwa bao 1 na gemu wameikamata hasa, wapunguze kupanick, magoli nayaona kama...
Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye...
Wasalaaam wana jukwaaa..kwanza nipende kuwapongeza watani kwa kuchukua kombe msimu huu baada ya kuhenyeka kwa miaka minne bila bila? Yani achana tu na kukosa kombe walipigwa na uhaba wa pesa si...
Kuelekea mchezo mkubwa katika soka la vilabu Spain na Europe kwa ujumla imetangazwa rasmi kuwa FC Barcelona watavaa jezi zenye logo ya OVO ambayo ni kampuni ya muziki inayomilikiwa na mkali kutoka...
Wakuu nimewaleteeni Ratiba yote ya Qatar FIFA WORLD CUP 2022 FIXTURE (in IST)
Nov 20: [emoji1203] Qatar vs Ecuador [emoji1092] - 9:30 PM
Nov 21: [emoji1022] England vs Iran [emoji1130] -...
Unaweza dharau Yanga ila yaliyowatokea wengne leo Al Hilal ataingia kwa akili sana.
Kila la heri Yanga. Mungu ibariki Tanzania, bariki Yanga yetu.
Kwa hisani ya @mamabongeeeeee
Wengine hatujazoea kabisa unafiki, kujificha au hata tu kukaa na jambo moyoni.
Na kuna mpuuzi mmoja (nimemsahau jina) wiki hii alitutaka Watanzania (tena kwa kutufokea) kuwa watu wa Yanga SC na...
FULL TIME: Simba imeshinda kwa magoli 2-0
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza.
85' Dejan anampa pasi nzuri Sakho, shuti linatoka nje kidogo ya lango.
83' Phiri anatoka anaingi Dejan.
75' Shangwe...
Mtu anapofanya kazi vizuri apongezwe, mtu anapokosea akosolewe na kushauriwa.
Mimi na wenzangu tunampongeza Meneja Ahmed Ally na wenzake. Kwa kweli wanafanya kazi nzuri, wanatendea haki mishahara...
Nimeskiliza alichojibu MANDONGA baada ya KUPIGWA na nikagundua uyu jamaa anakipaji cha kuongea
Ikiwezekana apewe kazi ya kuwa MC wa mchezo wa ngumi au awe promoter wa masumbwi
MAJIBU YA MANDONGA...
Nafikiri sasa ni muda muafaka cha chama kinachosimamia mchezo wa ngumi kumzuia Mandonga kupanda ulingoni.
Kwanza huyu jamaa anahatarisha usalama wake, ngumi sio mchezo wa kupanda panda ulingoni...
Jamaa ndiyo wamenyanyuka wakiwa na bashasha na kujiamini at par. Wachezaji na viongozi wako na morali ya juu sana wakiongozwa na Kocha Prof. Nabi.
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Naomba nieleweke, naongea kikubwa hapa, wale wenye uzito watanielewa. Na kwa hili sirejei mechi yenu ya kesho, ombeni Mungu anaweza kuwasaidia.
"Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani...
Kuna Mpuuzi Mmoja nimemsikia ( kwa sasa nimemsahau Jina ) akisema tena kwa Kufurahia na Kuwapongeza Wenyeji kuwa wamepokelewa vyema.
Na kwa tunaowajua vyema Waarabu ( hasa Timu zao ) ukiwa ni...
Wanamichezo wa hapa jukwaani nimekaa nikafikiria maajabu ya mpira wa miguu kuelekea mechi za kimataifa za wababe wa Kariakoo, yaani Simba dhidi ya De agosto na ile ya Al hilal dhidi ya Yanga...
Amani iwe nanyi.
Natumaini wachezaji na viongozi wangu wa chama langu la Wekundu wa Msimbazi wapo salama kabisa.
Bila ya kupepesa macho wala kung'ata maneno napenda niwaase wachezaji kuwa waingie...
Wakuu tunakumbushana tu kwa wema, leo inaitwa SUPER SUNDAY. [emoji3593]
(1 ) Simba vs De Agosto
Saa 10:00 Jioni
(2) Real Madrid vs Barcelona
Saa 11:15 Jioni
(3) Man city vs Liverpool
Saa 12:30...
U17 WWC 2022.
France 0-2 Tanzania 60'
====
TANZANIA imeonyesha uimara katika michuano ya Kombe la Dunia Wasichana U17 baada ya kuwachapa Ufaransa mabao 2-1 leo katika mchezo wa Kundi D Uwanja wa...