Leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanacheza mechi kubwa. Kulingana na rekodi zao na wapinzani wao.
Je, unadhani nani atachomeka au kuchomoa?
Kila Mtanzani anatamani kuiona Simba S.C. ikiendelea kufanya vizuri kimataifa, kufanya vizuri kwa Simba kimataifa kumeinufaisha pakubwa sana taifa hili.
Simba imekuwa mfano mzuri wa kuigwa hapa...
Wanasema wao hawashiki vispika, sio levo yao, wao hawapiti mitaani kuomba mashabiki kwenda uwanjani, lkn tumeona wakitumia mbinu mpya ya kuujaza uwanja, ambayo ni kuwafuata jangwani, stendi ya...
Watu wa Soka,
Leo ninafurahi kuwajuza kuwa Mlinzi Imara kutoka Timu ya Taifa #TaifaStars asiye na presha na mechi ndogo wala kubwa, Metacha Mnata, ametuhakikishia kuwa lango letu litakuwa salama...
By ELIUS KAMBILI
NILIKUWA pale Luanda, Angola na Namungo iliyokwenda kucheza na Clube Desportivo 1 de Agosto mwaka jana. Lakini wageni hawakugusa mpira hata wa mazoezi kutokana na vihoja kutawala...
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imezifungia kusajili klabu za Ligi Kuu ya NBC za Tanzania Prisons na Singida Big Stars kwa kosa la kusajili...
Sijataja mtu lakini nataka niwaambie kuwa, ukiachilia mbali uchawi wa vile vizee vyenu, mmekuwa mkibebwa sana na waamuzi na mmetumia sana pesa kuathiri wapinzani wenu nje ya uwanja.
Sasa nijuacho...
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imeitaka klabu ya Wydad hadi kufikia Oktoba 17, 2022 iwe imeshalipa $721,000 (zaidi ya Sh 1.6 bilioni) inazodaiwa na Mshambuliaji wa Tanzania Simon Msuva...
Huu ni mfumo wa 99.9% kujilinda (Defensive) hasa ukiwa na historia kuwa ikicheza kwao huwa inakuwa na kasi na inafunguka sana tu.
Wanasimba S.C. tusijidanganye, hawa waangola ni watamu (wazuri)...
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!
Nafikiri nimeeleweka.
Gemu ikiisha, yafuatayo yataibuka.
Kocha Nabi hana uwezo.
Morriso tumepigwa.
Aziz Ki hamna kitu.
Yannick Bangala ashakuwa mzee.
Hamasa nyingi timu haina kitu.
Marefa wa kibongo wametulemaza...
Afisa Habari wa Klabu ya Azam FC, Thabit Zakaria maarufu kama ZakaZakazi, amefungiwa kwa kipindi cha miezi mitatu (3) na kutozwa faini ya shilingi laki tano (500,000) kwa kosa la kushutumu Waamuzi...
Mzuka Wanajamvi!
Kutokana na hali ya vita huko Ukraine hali inazidi kuwa tete. Na leo kwenye hotuba yake Putin ameendelea kusisitiza hatanii kutumia mabomu ya nyuklia.
Na uwezekano wa kizitumia...
MOJA kati ya shida kubwa za maofisa habari wa klabu zetu ni kuongea sana. Ni rahisi sana kumuona ofisa habari wa Simba anakwenda kwenye chombo cha habari kuzungumzia timu kwa saa tatu.
Ni jambo...
Sporting Lisbon ya Ureno imetenga USD millioni 10 kumnunua Fei Toto mwezi wa Januari. Hiyo itakuwa ofa ya pili kwa Yanga kuingiza mabilioni baada ya kumuuza Clement Mziza kinako club ya Marseille...
Future ya Ronaldo klabuni Man Utd haieleweki.
Pia inaonekana ten Hag hana mpango na Ronaldo.
So Ten Hag amekuwa akimuanzisha Rashford kama ST au CF.
Wote tunaelewa kuwa Rashford hayupo...
1. Kuroga kwa kukufuru
2. Kutaka kumhonga refa
3. Kutaka kuwapulizia sumu
GENTAMYCINE nakumbusha tu kuwa safari ya kwenda kwao ikiwepo ombeni hata makomandoo 25 wa JWTZ wawasindikize na...
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh 50 Milioni na Kanisa la Kingdom Embassy (HPCC) la jijini Dar es Salaam ambao ni maalumu kwa ajili ya...