Leo Klabu ya Simba imekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania ambayo imetolewa na kampuni ya Serengeti Bytes. Tumeshinda tuzo hii baada ya kuvishinda kura vilabu vya Azam...
INASEMAKANA SIMBA WAMEMSAJILI VICTOR AKPAN. je uwezo wa akpan na Tadeo Lwanga nani mzuri. Tudadavua hapa isije ikawa Simba tunacheza kamari tu.
Me maoni yangu kama mwana simba ni mchezaj wa...
Nasemaje!! yatakuja majitu yenye roho mbaya hapa na kubisha, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ndugu zangu.
Hyu kiumbe kadhihirisha kwamba yeye ni noooma sana nchi hii kauli zake kama sumaku ...
Mabingwa wapya wa Tanzania, Dar Young Africans maaarufu kama Yanga usiku huu imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole
Kambole ambaye ni raia wa Zambia amejiunga na Yanga kama...
Klabu ya Simba leo imeingia mkataba na benki ya Equity ambao utawezesha benki hiyo kusimamia mradi wa kadi mpya za wanachama na mashabiki ambazo zitaitwa Simba Card.
Kadi hizo zitatumiwa na...
Anaandika Meneja Ahmed Ally
Nilitegemea hili na wasingejitoa ningeshangaa sana!
Wakati wanaianza safari ya NANI ZAIDI hawakua na dira wala muelekeo
Waliingia kichwa kichwa pengine walitaka...
Ligi nyingi kubwa Duniani ziliisha karibu wiki tatu sasa sie bado labda hadi mwisho wa mwezi huu ndio inasemekana tutamaliza!
Hii ni shida, tuombe hili lisijirudie tena msimu mpya ujao, unakuta...
Wanabodi.
Niko naamgalia mpira wa Azam VS Namungo, kiukweli hii ni moja ya Big, very big match.
Wachezaji wanaonesha ubora mkubwa sana, lakini ubora huu unachaguzwa na kiwanja bora kabsa cha...
Ndani ya misimu minne ntashinda taji moja. Ndivyo Klopp alivowaambia waandishi wa habari misimu mitatu na nusu iliyopita. Jamier Ghalagher alimuonya Klopp kuwa siyo rahisi kihivyo na ni kosa kubwa...
Pesa za Yanga SC Mambwiga ( Washamba ) wa Kudumu FC....
Tsh Milioni 500 za Azam
Tsh Milioni 100 za NBC
Jumla Tsh Milioni 600 ( na hapa bado Mama Samia hajakomba Kodi yake na akiikomba watabakiwa...
RAIS wa Africa Boxing Union (ABU), Houcine Houichi amesema moja katika sababu iliyofanya wamvue mkanda Bondia Hassan Mwakinyo ni kugoma kupigana na Bondia Brandon Tysse kutoka Afrika Kusini.
...
Haji Manara ameishiwa hoja, amesikika akimponda Bin Kazumari kuwa hajui kuongea lugha ya kiingereza, hivyo hawezi kuwa wakala wa mchezaji Farid Mussa, anasema wakala lazima ajue kimombo, akamsifia...
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!
Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo...