Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

huyu kocha inaonekana n kipenz Cha mwekezaj na wanasimba kwa ujumla Haiwezekani makocha karibu watatu wanafukuzwa naye akiwa kama kocha msaidizi ila yeye haguswi hata kidogo Mm nadhan Kama...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu let us think Literally. Hoja yangu ni kuwa, Sawa Pablo Leo anafukuzwa Lakini: 1. Je,kuhusu viwanja vya mikoani kuwa ni vibovu, si kweli? 2. Ugonjwa wa Simba hauna tofauti na WA...
1 Reactions
13 Replies
846 Views
Ili Ligi yetu iwe inaisha kwa wakati ni lazima TFF IBADILIKE katika kuita timu ya taifa. Mwaka jana timu ya taifa iliitwa week na kitu kabla ya mashindano na tukakosa kushiriki mashindano ya...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
KUONDOKA KWA PABLO NI SAHIHI KABISA Kocha yeye kila siku kulia Kocha amecheza mechi 4 na Yanga hajashinda hata moja hafai kuwa SIMBA Kocha hana mbinu za kuweka mpira chini, kushambulia kwa kasi...
2 Reactions
6 Replies
921 Views
Bashiri matokeo sahihi ya kesho kati ya simba vs Yanga! mimi naenda 1-1.
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Hivi yule kocha kufanya udhalilishaji ule alikuwa ana maana gani ? Hata kama hamtaki Wawa lakini si kwa unyama aliofanya. Kiukweli nikiri kwamba jambo kama hili sijawahi kuliona kwenye soka, ni...
6 Reactions
67 Replies
5K Views
Mada hii ni yakiroho,ya jicho la tatu, haitaki matusi. Utamaduni wa kubadirishana jezi umetokea ulaya,huku kwetu hautufai kwani kwa jicho la kiroho njia rahisi ya kuua vipaji vya wachezaji...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna kila dalili timu yetu imekuwa na underground management crisis ambayo kwa nje hatuoni. Ni vizuri tuamue hatma ya timu yetu sasa kabla haijawa worse zaidi next season. Hii timu...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Sawa. Tumekubali kwamba nyie Utopolo FC ndiyo mabingwa NBC Premier league mwaka huu. Pia mtachukua ubingwa wa Azam FA CUP. Tukutane msimu ujao Utopolo wakubwa nyie!
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Binafsi sielewi shida ni nini, Liverpool imedominate mpira, matokeo yake kombe linarudi Madrid. Hii ni changamoto kwa timu za England linapokuja suala la UEFA. Real Madrid wameingia kwenye...
10 Reactions
58 Replies
2K Views
Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za...
14 Reactions
38 Replies
2K Views
Ibrahim Ajibu kama ilivyokuwa kwa Jonas Mkude na wenzake kadhaa wakiwemo kina Said Ndemla, wakati wanachipukia kwenye Simba B chini ya Kocha Selemani Matola walionekana ni wachezaji wenye vipaji...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Nyie Simba SC na UTOPOLO hii game kati ya Ahly na Wydad, mnaitizama ? Mkiiangalia hii game , je itawachukua karne ngapi kufika huko? Hizo level mnaziona? Au ndio mtaendelea kumgombania chama na...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Leo tunamdunda mtu jamani My prediction Wydad Casablanca 2-1 Al ahly, FT Karibuni sana makanda wangu
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Mechi ijayo ya NBC PL, Yanga akimfunga Coastal Union, anatwaa Ubingwa wa NBC PL. Kwa maana hiyo Ubingwa wa Yanga wa NBC PL upo mikononi Kwa Coastal Union! Kisha Yanga akimfunga Coastal Union...
9 Reactions
12 Replies
1K Views
Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana...
26 Reactions
44 Replies
3K Views
Kama ni kweli basi Mwarabu wa watu anajichimbia kaburi historia ya kocha klabu zetu haswa yanga kuja na wachezaji wa nchini mwake siyo nzuri, kwanza wakiwa chini ya kiwango atalazimisha kuwapanga...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Ripoti mbalimbali toka viunga vya jiji la Liverpool zinabainisha mshambuliaji wao raia wa Senegal, Sadio Mane, ataondoka dirisha hili la kiangazi. Habari hizo zinadai kwamba, Bayern Munich...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Namshauri Mo Dewji, kama kweli anataka kuendelea kuona mafanikio Simba basi hana budi kuvunja bodi ya wakurugenzi, hao akina Asha Baraka, sijui Mangungu, sijui Kaduguda hawana msaada wowote, hao...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…