Simba sc inashika nafasi ya 12
Namungo fc inashika nafasi ya 56
Yanga sc inashika nafasi ya 75
Je, kuna nini kinakujia kichwani kwako ewe shabiki mwenzangu wa Yanga?
Tuendelee kuwananga wenzetu...
Wachezaji wa Simba nyie ndio mnaoiwakilisha Tanzania, serikali ipo nyuma yenu, wananchi wapo nyuma yenu hivyo ushindi wenu ni ushindi wa nchi!
Pirate ni timu ya kawaida sana na mtawamudu mpaka...
Nakumbuka ka- harufu kake ikiwa MPYA imetoka dukani
🤣😅
.
Wakuu Hivi Viatu Vilikuwa vinaitwa Abeid Mziba
Màana Yeye ndie mchazaji pekee alikuwa anatumia viatu hivi wakati huo ligi Daraja la kwanza...
1. Timu ifike Johannesburg Siku Moja kabla ya Mechi na isiwahi Kufika tafadhali
2. Mfumo pekee wa Kuutumia tukienda huko uwe ni wa ama 3-5-2 au wa 4-5-1 nikimaanisha 95% Defensive tu
3. Timu...
Nashangaa sana watu wanaobeza ushindi walioupata leo SIMBA SC, na ukichunguza kwa makini utagundua ni wivu na husda za kuona SIMBA wanazidi kuchanja mbuga.
Ukiangalia mpaka kufikia leo ktk mechi...
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi Banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote...
Mimi sio Mchambuzi wa soka lakini kama Shabiki wa soka nimekuwa nikijifunza kla siku kupitia kuangalia Soka.
Baada ya Soka kuonesha mafanikio na ufuatiliwaji mkubwa kama kawaida Wenzetu(haswa...
[emoji23][emoji23][emoji23]
-Meneja wa habari na mawasiliano Simba SC Ahmedy Ally amesema kuwa kama watani zao Yanga wana mpango wa kutaka kumsajili beki wao Joash Onyango basi wajiandae kutoa...
Kuelekea kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates ambao unatarajiwa kupigwa April 17, 2022 kwenye Uwanja wa Benjamin...
Utopolo wanaendesha kampeni za Kijinga sana ili tumuone mugalu hafai
Kumbukeni Mugalu kwa kasi na ubora alionao, hakuna forwad wala straika wa kulingana nae viwango pale jangwani.
Na infact...
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.
Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia...
Naona klabu ya Simba inahangaika sana kushawishi mashabiki wakaujaze uwanja siku ya sikukuu
Mo amuige Manji awajaze yeye mwenyewe mashabiki uwanjani.
Simple tu.
Pasaka njema!
Kwenye MAWAZO MCHANYATO Nadhani Kocha wa Orlando kulalamika Yuko sahihi.
Baadhi ya mashabiki wa Soka Tanzania kuwasapoti wapinzani wa Simba Wako sahihi pia.
Simba Sc kuendelea kujiheshimisha na...
Hello Tanzania, Sawubona South Africa!
Karibuni katika Kindumbwe ndumbwe cha mtanange wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Africa (Total Energies CAF CC) kati ya wenyeji Simba Sc wa...
Kama kawaida yenu ili muaminike Kinafiki, mpewe Vipesa vya hapa na pale na muhaidiwe kuwemo katika 'Trip' ya South Africa mmeshaanza sasa katika Redio zenu, Mitandao yenu na Magazetini Kwenu...
kwa Drow iliyochezeshwa leo imepanga kua Simba sc itakutana na Orlando pirates, huu mchezo kwa jina tu la timu ya Orlando inaonekana ni ngumu kuliko hata tunavodhani, na ukilinganisha na timu...
Kumekuwa na lawama sana kumhusu Mugalu baada ya kosa kosa zake za juzi mpaka kufikia hatua baadhi ya mashabiki kumtusi tena matusi ya nguoni.
Mugalu hakupenda kukosa, ukiangalia baadhi ya kosa...
Sasa nimeshaelewa,hapo kashachanganya msuba,ugoro,mmavimavi,na majani ya mpapai....
Sasa akitoka hapo ndio anaanza kuhara kwa kutumia mdomo...
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.