Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ametoa kauli yenye utata kuhusu Afrika, akisema, “Afrika ni makaburi kwa Waafrika. Inawezekanaje makaburi yakastawi?”
Putin ameeleza kuwa Waafrika waliofanikiwa huweka fedha zao Uswisi, hupata matibabu Ufaransa, huwekeza Ujerumani, hununua bidhaa Dubai, hutumia bidhaa za Kichina, husali Roma au Mecca, watoto wao husoma Ulaya, na husafiri kwenda Canada, Marekani, na Ulaya kwa utalii. “Wanapofariki, huzikwa Afrika,” amesema Putin.