Habari ndugu wananchi,
Kuna uzushi uliozoeleka hapa Tanzania kuwa "kinachosababisa NYOKA wa kijani kuanguka chini kutoka juu ya mti ambao chini yake Kuna watu wanapiga stori NI umbea, kwamba alikuwa akisikiliza stori zao kwa muda mrefu kwa kujificha hivyo zimemnogea na ameshindwa kuendelea kujificha, "
Jamiichek fanyeni kitu hapa, hi ni kweli au uzushi?