Baada ya jana Klabu ya Simba kutoa taarifa kuwa mlinda mlango wao, Aishi Manula alishindwa kusafiri kuelekea Algeria baada ya kupata hitilafu ya kiafya dakika chache kabla ya kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Haya ndio majibu ya Tanzania One
"Siumwi chochote, ila wao ndio wanajua nini kinaendelea. Siwezi kuzungumza chochote, naacha wasimamizi wangu wazungumze." — Aishi Manula