JamiiCheck - Tanzania

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

JF Prefixes:

Inasemekana kuwa Emmanuel Nwude, mmoja wa matapeli maarufu zaidi katika historia ya uhalifu wa kifedha nchini Nigeria ambaye kati ya miaka ya 1995 na 1998, aliwahi kumuuzia mtu uwanja wa ndege wa bandia, akijifanya kuwa mkurugenzi wa Benki Kuu ya Nigeria. Kwa udanganyifu huu, Nwude alimdanganya meneja wa benki ya kigeni huko Brazil, Nelson Sakaguchi, kuwa Nigeria ilikuwa ikijenga uwanja wa ndege wa kimataifa mpya huko Abuja, na kumshawishi kuwekeza kiasi kikubwa cha pesa. Kuna ukweli kiasi gani hapa?
Wakati wa ukuaji wangu nilikuwa nasikia matendo mabaya sana kuhusu aliyekuwa Rais wa Uganda, Id Amini Dada, moja ya matendo hayo ni pamoja na ulaji wa nyama za watu hasa waliokuwa wapinzani wake wakubwa. Rejea Idi Amin Dada : The Ugandan Butcher & Murderous Cannibal Uvumi ulienea kwamba aliweka vichwa vya wanadamu kwenye jokofu lake. Na alikiri kula nyama mara kadhaa. Kuna mahali nimeona amenukuliwa mwaka wa 1976 akisema "Nimekula nyama ya binadamu, ina chumvi nyingi, hata zaidi ya chumvi kuliko nyama ya chui." Kuna wanaosema kuwa suala la Idi Amini ni propaganda zilizozushwa na maadui zake, pia kuna waliosema ni kweli alikuwa mtumiaji mzuri wa nyama za binadamu. Aliyekuwa Rais wa Venezuela, Hugo Chavez aliwahi kunukuliwa haya...
Nimeona huko walimwengu wakijadili kuhusu vile vipele vinavyozunguka kichwa cha uume, sasa baadhi wanadai kuwa mwanaume mwenye hivyo vipele ana asilimia ndogo sana ya kuambukizwa UKIMWI hasa akiwa na damu group O-, lakini pia mwanaume mwenye navyo hawezi kupata magonjwa ya zinaa. Haya mambo yanachanganya, tusije jikuta tunalombana bila tahadhari tukapata majanga. Naamini humu tutapata uhalisia wa hili.
Back
Top Bottom