eti wana JF kweli, mtu na akili zake katika muda lakini masaa machache tu utakula na kama bado si ataenda shule ila ni vema ukasaini mikataba ujue kwamba kuandika hamna neno basi tu ni hali ya...
Hii imekaaje wadau
eti anatokea Obama kwenye Cloud TV anawakaribisha watz kuangalia Comedy Show Jumatatu saa tau usiku hapa cloud TV................
Ikesha anasema Dsm ni safi...
Wanafunzi wanapokuwa Darasani siku za masomo macho yao huwa hivi :
(-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-)
siku mwalimu akisema kesho mtihani hutoa macho iviiii
(O_O) (O_O) (O_O)...
Habarini wapenzi marafiki zangu
Mijisemo mingine inanishangaza na kunistaajabisha sana sijui walikuwa hawana
misemo ambayo italeta maana ya kitu unachopeleka kwenye jamii au hadhira yako
mingine...
1.In which battle did Tippu sultan die?
--In his last battle
2.Where was the declaration of independence signed?
----At the bottom of the page
3.What's the main reason of divorce...
Walevi wa2 waliokota kioo.mlevi mmoja alikiangalia kioo kwa mda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni kwangu ila jina ndio nimelisahau".mlevi mwenzake akampokonya kioo kisha akakiangalia na...
Mbele ya mtumishi wa Mungu, Bwana harusi bila woga ni pale alipouulizwa unakitu gani kama ishara ya upendo wenu? Basi akafungua zip akaitoa na kuanza kuiingiza kwa mkewe! Bibi harusi bila woga...
nimeingia mda si mrefu,nakutana na bonge la nyoka linapigana na paka wangu,yaani nimeshindwa ata kusogea karibu, vita ni kali joka limefula na paka amefula, naenda kuita vijana wa street wasaidie.
Wanaukumbi,
Tupo kwenye mfungo wadau wa Chit-Chat karibuni sana tujumuyike pamoja mambo ya Chess games haya...
CC.. Nyani Ngabu, Paw, Kipaji Halisi Heaven on earth, Mzee, Kaizer...
mimi kapalampya nimeahamishia makazi yangu rasmi katika mji wa lindi
kuanzia leo hii
kama kuna wana cc wanaoishi lindi naomba tutafutane kwa ajili ya utambulisho na mapokezi..
nawasilisha
cc...
jamaa alipata tetesi kuwa mkewe anaingiza buzi ndani kila anapotoka. siku moja kwa mtego akarudi mapema sana huku akiwa na shauku ya kumfumania mkewe.
lakini hakumuona huyo jamaa, lakini alimuona...
Kama kina dada wa JF mnajiamini wekeni picha zenu za ukweli na si kuparamia ma avatar ya warembo wa nje.
Nampongeza Mwali, ni yeye mwenyewe orijino na ni mrembo haswa, natural, hakuna mkorogo...
Stupid Answers for Stupid
Questions: 1. Someone calls you at 2
am in the night and
ask you "are you sleeping?"
Ans: no, Im picking beans. 2. You're making out with a
girl then you start pulling...
Mwanamke Zuzu alikuwa na mchumba wake Zuzu,
baadaye uhusiano ulivunjika. Zuzu mwanaume alikuwa akimsumbua sana
kumpigia na km2mia sms yule mwanamke Zuzu kila
siku mpaka mwanamke Zuzu akawa...
James ni mfungwa katika gereza la machizi,siku moja akawaambia marafiki zake,''naanza kufanya mazoezi ya kuruka geti ili baada ya miezi mitano nitoroke kwa kuruka geti'' james akaanza mazoezi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.