JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kampuni za Bima hujinadi kumsaidia muhanga pale mali zake zinapopatwa na uharibifu kumfidia aidha kwa kumpa pesa, kumrekebishia au kumbadilishia mali nyingine. Je, mali yako uliyoikatia bima...
3 Reactions
19 Replies
933 Views
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST. Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save...
6 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari wakuu, Habari za mwaka Mpya? Nahitaji Kampuni isiyo babaifu ya uuzaji wa Magari Used wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo. Ndoto zangu tangu mwaka Jana zilikuwa za kupata Usafiri baada ya...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Kama umeagiza gari au bidhaa na ikawa imefika Kwenye Bandari na wakati huo pesa ya ushuru umepungukiwa,kukwama au hukuwa na taarifa sahihi za ushuru na makadirio ya kodi yamekuja zaidi ya kiwango...
45 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakuu nina shilingi million 23 nahitaji gari kati ya hizi crown athletes, BMW 3 series hapa unanishaurije hela haiwezi kuzidi hapa hii hela nimeitafuta sana aisee na mimi nataka niendeshe...
12 Reactions
41 Replies
1K Views
Tukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..! Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu...
18 Reactions
858 Replies
46K Views
Wazoefu mtusaidie kama kuna ukweli hapa. Naona wengi wamekubaliana naye.
4 Reactions
17 Replies
536 Views
Habari wadau, Nimekwama hapa, mana hakuna check engine light inayowaka. Gari inalia knock kwa mbali lakini nikiwa naendesha, huwa inapotea, ila nikisimama naanza kusikia mlio wa knock. Saa...
5 Reactions
21 Replies
792 Views
Kumiliki gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana hasa sisi wenye vipato vya chini. Changamoto zake ukiachia matengenezo ambayo huwa sioni tatizo lake kubwa iko kwenye kuiuza. Mwaka jana ndugu...
16 Reactions
90 Replies
8K Views
Habari za leo waungwana. Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara...
6 Reactions
64 Replies
8K Views
Kwa kipato cha Tsh 600k kwa mwezi naruhusiwa kumiliki gari au niachane na mbwembwe. Kama naruhusiwa kumiliki gari kwa mizunguko isiyozidi 5 kilometer kwa siku ni sawa kununua gari yenye 2500 cc...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Salaam wanajukwaa. Moja kwa moja kwenye mada, wote tunaelewa hizi gari ni ngumu sana na zinapita mahali popote. Kwa usalama wa raia (abiria) tunaomba mamlaka husika iziangalie hizi gari pamoja...
4 Reactions
8 Replies
835 Views
Habari wanajamvi. Nimeishi sana kwenye ka baby walker kwa muda sasa. Natarajia mwakani niachane nako nipande hadhi japo kidogo. Nakuja kwenu wana jamvi, wataalam wa masuala haya. Nahitaji kujua...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Watu wengi huaminishana kwamba eti kwa sababu mtu fulani alikufungia GPS tracker kwenye gari basi mtu huyo anao uwezo wa kujua gari lako lipo wapi na hivyo anaweza kuja kuliiba. Kiukweli mimi nipo...
17 Reactions
35 Replies
8K Views
Wadau nataka taabya mbele kubwa ya spacio new model upande wa kushoto,bampa la mbele zima,side mirrow kushoto, kioo cha mbele na kijioo kile kidogo cha kushoto. KAMA UKO UNAWEZA PATA NITAFUTE...
1 Reactions
1 Replies
133 Views
"Wakubwa habari ya muda huu,Mimi binafsi naomba kupata elimu zaidi kuhusu gari aina ya SUBARU FORESTER TA SG5 2006/2008", hasa uzuri,na changamoto zake
0 Reactions
1 Replies
630 Views
Wakuu nikiri nilikuaga na Passo Julai 2021 niliagiza ndinga yenye 4WD Sasa nikapata safari Dar - Liwale huko nikakutana na barabara hazieleweki kila nikienda gari inatitia aisee nikaweka 4H mwendo...
16 Reactions
87 Replies
47K Views
Moja ya gari pendwa hapa mjini Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!! Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable Utagundua hata TRA wamezipandishia...
29 Reactions
855 Replies
64K Views
Habari boss, kampuni ya PM TRADING AND LOGISTICS inapenda kukutaarifu kuwa inaendelea na zoezi la kupokea mizigo itakayosafiri Kwa njia ya ndege kutoka China kuja Tanzania. Wiki hii ndege...
2 Reactions
19 Replies
967 Views
Habari mafundi humu Natumia gari aina ya verosa ilikuwa ipo vizuri kabisa Juzi kati nikafunga android tv town huko sasa wakati naludi hendiketa zikakata ghafla zikawa haziwaki zote, kesho yake...
4 Reactions
15 Replies
617 Views
Back
Top Bottom