JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Niliona juzi kati kunaa mdau anaulizia gari ambalo akiendesha watu wajue amejipata. Sasa leo nikawa nafanya comparison ya kutaka kuagiza magari mawili, yote ya mwaka mmoja 2006. BMW 3 series...
19 Reactions
51 Replies
3K Views
Kuna mwamba ameshare Model 3 yake likiwa na odometer ya miles 316,270 ambazo ni sawa na kilometa zaidi ya laki 5. Gari bado ipo kwenye original battery, na imepungua battery kwa asilimia 15 tu...
15 Reactions
8 Replies
515 Views
Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana. Je, wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu. BAADHI YA MAWAZO YALIYOTOLEWA NA WADAU KUHUSU GARI HII...
9 Reactions
776 Replies
182K Views
Wataalam kwema, naomba msaada mtu anayeweza kunipatia air cleaner ya GDI full set (housing na filter)
0 Reactions
0 Replies
117 Views
Naomba kufahamu kuhusu Toyota Noah Si (new shape) Ubora wake na changamoto zake kwa aliyewahi itumia hii gari.
1 Reactions
8 Replies
729 Views
Nipo kati kati hapa injini rejeta mpya, haivuji, feni ipo sawa kabisa ila gari ina heat kila baada ya km 30 40, inabidi niipaki ipoe msaada wa haraka
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Hivi karibuni soko la Land rover discovery 3 limekua ghafla nchini. Je, tuwaambie ubovu wa hizo gari au tukauke tu?
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu habari za Majukumu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, gari yangu hiyo aina ya Toyota Spacio hivi karibuni imekuwa ikikosa nguvu pindi inapoanza kupanda mlima hata kama ni kidogo pia...
3 Reactions
8 Replies
784 Views
Ikiwa wewe umeajiriwa Serikali za mitaa (Halmashauri) hapa nazungumzia Walimu na Manesi huku wanapitishia mishahara NMB ni bora ukabaki kwenye IST, Premio, Passo, Carina na Corolla. Ukivuka hapo...
19 Reactions
56 Replies
3K Views
Huko uliko gari zipi zimejazana sana kwenye magereji? Weka jina hapa hlf kimbia ukachekee mbali sana na ibaki kuwa siri yako usimwambie mtu. Hapa nilipo naona BMW, Jeep, Nissan Duke, xtrail list...
11 Reactions
35 Replies
2K Views
Wataalamu wa hapa nataka kuchua probox 2013 au ist 2006 japo mezani imezi zaidi upande wa probox sababu ua ukubwa na uwezo wa kubeba mzigo, nitakuwa sawa au? Ina changamoto gani ambazo common...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika anachagua gari isiyozidi TSH 20m toka yard ambazo tuna...
22 Reactions
97 Replies
3K Views
Wakuu. Mbali na kuagiza gari kutoka nje ya nchi, au kununua showroom kuna option ya tatu ya kununua gari ambalo Mtanzania mwenzako analitumia. Hii inaweza kua njia salama zaidi lakini pia ya...
33 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau, mi kila siku minekuwa nikijiuliza, ila sijapata jibu. Naomba wenye ufahamu wanielimishe kwenye hili. Hivi hizi herufi kwenye "licence plates" za magari zinamaana gani? STK STJ STH ST A ST...
33 Reactions
916 Replies
498K Views
Habari zenyu. Sihitaji povu kutoka kwa mtu yeyote maana maskini povu lao ni zaidi ya sabuni ya OMo. Nweka orodha ya magari ya watu maskini na tajiri. Orodha ziko 3. Fukara,Maskini wenye mwelekeo...
16 Reactions
64 Replies
3K Views
Mkuu wa wilaya ya Same anasema madereva waongeze umakini hasa kipindi hiki cha sikukuu na anaendelea kusema madereva huwa wanajisahau wakiwa barabarani.. NI kama anataka kumpiga Mkurugenzi mawe...
3 Reactions
1 Replies
503 Views
Wa vitabuni unajulikana ni miaka 18 huo unafahamika. Wewe ulimwanzishia akiwa umri gani?
3 Reactions
12 Replies
513 Views
Nini kimewakumba Japan? Trump ana hasira nao hawa wachina balaah kati ya 10 nafasi 6 zao sio kawaida. Utawala wa DT safari hii utakuwa na vituko zaidi dhidi ya hawa wachina ana hamu nao sana.
3 Reactions
37 Replies
911 Views
Wakuu hamjambo?! Hivi nikivuta Suzuki Escudo nitakumbana na vipengele gani? Kama kuna wakuu wanapinga Suzuki Escudo basi watoe maelekezo nichukue gari gani yenye size hiyo
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Bado uwezo wa kumkimbia Mjapan sina, ingawa Mchina na Mmarekani wanashawishi ila hamna jinsi. Kwa trend anatoenda nayo Nissan kutokea 2020 aisee nadhani ndio kituo kifuatacho. Kama nitabaki na...
10 Reactions
53 Replies
1K Views
Back
Top Bottom