JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Suzuki Carry Habari zenu! Naomba kujulishwa uwezo wa suzuki carry a.k.a kirikuu: 1. Uwezo wa kubeba(maximum weight). 2. Nguvu yake kwenye mchanga,matope,utelezi,miinuko n.k. (pulling). 3. Je...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Kipato changu cha hali ya chini, bodaboda naogopa sana, nataka ninunue suzuki every wagon, used, kwa ajili ya kwenda kibaruani na kurudi nyumbani,home ni chanika na kibaruani ni kkoo. Naomba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nichukue ipi kati ya gari hizo mbili naombeni ushauri please. Vitz RS New Model Runx 2003
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mwenye ujuzi ninaomba kufahamu tofauti ya switch ya kuwashia gari kati ya ile ya kutumia ufunguo na ile ya kubonyeza. Kwa kuzingatia uimara wake, matengenezo, kwenye suala la usalama.
1 Reactions
50 Replies
12K Views
Natamani sana kumiliki BMW, Vipi upatikanaji Wa vipuri vyake kwa hapa Tanzania hasa Dar. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
113 Replies
23K Views
Je, ni madhara kutumika miguu miwili kwenye pedal mbili za gari wakati wa kuendesha? Na ambae anatumia mguu mmoja katika pedal zote mbili?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habarini wakuu! Kwa wazoefu kwenye biashara ya uber, gari aina ya Carina T.I cc 1490 namba C je inaweza kuleta faida ikiingia kwenye biashara ya uber? na je hii gari wanaichukulia kama uber ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadai mambo vipi. Nina shida natafuta gia box ya Toyota Cami mwenye nayo naomba tuwasiliane. Toyota Cami GearBox
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani mimi ninapikipiki ila imeanza tatizo ambalo silielewi asubuhi nikiiwasha haiwaki tena ukilazimisha hadi betri linakuwa kama limeisha nguvu, ila ukiiicha kwa mda wa dk kama 25 ukiwasha...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wadau, Naombeni kufahamu je, kwa 4,000,000 nitaweza kupata gari ya kutembelea? Kama ndio, itakuwa na ubora gani, aina gani na namba gani?, kama sio, nianzie bei gani kupata gari kutoka kwa...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Ivi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa Altezza ni gari gani hapa inayoweza...
3 Reactions
123 Replies
57K Views
5 s engine ya Toyot harrier yenye km 189 k inachemka balaa,na inakula oil kama jini.system zote zs cooling na lubricating zimefanyiwa kazi lakini bado haifanani,pumps z water na oil zinafanya...
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Kuna dogo kaniambia nikimnunulia Raum au Ist tunaweza kufanya biashara ya uber na akalaza hesabu fresh bila wasiwasi sasa kuna jamaa yangu mmoja ana Funcargo anataka aniuzie ila mm sio mzoefu...
0 Reactions
30 Replies
11K Views
Leo tarehe 9/3/2020 nilikuwa nina ratiba ya kubadili Spark plugs kwenye kausafiri kangu.. Niliponunua nikarejea nyumbani, nikachukua vifaa vyangu nikaanza zoezi la kutoa plugs za zamani na kuweka...
3 Reactions
70 Replies
9K Views
Wakuu habarini za mida na pia poleni na mishe mishe za hapa na pale katika harakati za kulijenga Taifa letu. Bila ya kupoteza muda, naomba mwenye uzoefu au ufahamu wa ni kiasi gani cha pesa "za...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Wakuu naomba msaada wa wa magari hayo manne ipi ni gari sahihi kwa matumizi ya Kijana wa kileo, namaanisha ipo multipurpose kwa kutoka nayo out, Speed ikiwezekana unapotaka kutembea Mkoa hadi Mkoa...
4 Reactions
188 Replies
39K Views
Tazama hapa tu ni mfano wa gari bei yake (CIF) halisi kutoka Japan na ile unayopewa na TRA kwenye System yao...... Gari unanunua milioni saba kodi milioni tisa. Aiseer something has to be done...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Kati ya:- Brevis Verossa Gx 110 Xtrail Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
6 Reactions
213 Replies
24K Views
Nataka kuifanya gari yangu IST kuwa ya biashara ya UBER ilikuwa ni 'Private' lakini sasa nimeshaibadili, kila kitu kuwa 'Commercial' So kitu ambacho sijui ni namna ya kujiunga na hii huduma ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kigari changu Nissan Dualis kimeshindwa kuwaka sijui tatizo ni nini. Kwenye dashboard ukiiwasha inaonyesha "PS". Mwenye uelewa naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom