JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za Muamko wakuu!!!! Wakuu mimi sina usafiri binafsi kama walivo watu wengi wa JF. Huwa natumia usafiri wa umma. Pia kuna kitu huwa nakiona. Asilimia kubwa ya daladala zinazoenda TEMEKE...
2 Reactions
47 Replies
15K Views
Masada wana jamvi ni brand ipi ya battery ya gari kwa sasa ambayo iko imara na itaweza himiri kusukuma woofer 1000 watts bila tatizo? Nilikuwa natumia acdeldo N40 ila naona ishakuwa kimeo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
10 Things you should never do if you are using a manual car! May 28, 2016 brandvision 16 Comments Car from Japan, cheap Japanese cars, Clutch, Clutch Pedal, Gear, Japanese cars for sale...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nipo kwenye process ya kununua pikipiki na huwa napendelea pikipiki yenye umbo kubwa kiasi, kwa Tanzania hizi shineray ndio zinaonekana cheap, kwa mwenye uzoefu na hizi anijuze, fuel consumption...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
kama kuna mtu anauzoefu au anajua bei ya hcho kifaa tafadhari njoo PM directly,, ni very serious
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya hapa jamvini wadau? Tafadhali naomba kujulishwa wastani wa lita kwa kilometa kwa gari ya alteza gita 6c and 4c asanteni!
0 Reactions
72 Replies
31K Views
Kama mada inavyojieleza ni kampuni gani nzuri, waaminifu, timely, kwenye kuagiza gari. Maana siku hizi kuna makampuni mengi, lakini tatizo linakuja wengine ni matapeli, wengine ni majizi, wengine...
0 Reactions
45 Replies
15K Views
Wakuu.. Week iliyopita niliibiwa taa za mbele za gari aina ya Toyota Spacio. Fundi wangu anashauri tununue/tuweke Taa USED kwa sababu huwa hazipauki,na anasema taa mpya za dukani zinachuja rangi...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari Zenu Wakuu, Poleni Na Hongereni kwa Majukumu. Nina Toyota Alphard ambayo haijamaliza Miezi miwili tangu nimeichukua, Sasa ghafla AC ikawa Hapozi Nikapeleka kwa Wale Jamaa Wanaojaza gesi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wakuu. Gari yangu ni toyata runx. Ilipata shida ya kukosa nguvu na kuzima ukiacha tu kukanyaga mafuta nikaipeleka kwa wataalamu. Wakabadilisha gasket kwenye engine mambo yakawa safi. Lkn...
1 Reactions
51 Replies
9K Views
JAMIIFORUM, NAJUA HUMU KUNA WAJUZI WENGI HIVYO NAAMINI NITAPATA MSAADA,GARI YANGU AINA YA TOYOTA CROWN ILIGONGA JIWE NA KUPINDISHA PROPELA,TANGU SIKU HIYO IMEKUWA NA TATIZO LA KU VIBRATE IKIFIKA...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari wakuu.... naomba msaada wa hili... Nataka nianze mazoezi ya kuondoa Gari kwenda Mbele(Forwad) na Kurudi nyuma (Rivas) , papo hapo bila kuzima....SASA NIFANYEJE ILI ISIZIME WAKATI NAFANYA...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa mtu aliyewahi kutumia kari hizo atoe ushauri ,mafuta,spea comfortable, pia utulivu barabaran na safari coz me ni mtu wa safari....Nawasilisha
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Habari wakuu, nna gari aina ya Toyota Ractis model ya 2006, tatizo lake ni kwamba kila nikisimama alafu nikakanyaga mafuta gari inashtuka kwanza alaf ndio itatembea, nimeshaenda kwa mafundi wawili...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Hii pikipiki ni Kawasaki Z1 900 ya mwaka 1972 ya mjapan, bidhaa ya kampuni kubwa tu ya pikipiki kutoka Japan. Najua wengi wetu tunafahamu kuwa kwa vyombo vya usafiri nchi yetu ni mteja mkubwa sana...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Shusha maoni yako.......
0 Reactions
15 Replies
15K Views
Ndugu naombeni ushauri ambaye ana uzoefu juu ya Suzuki SX4 nataka kuinunua uimara wake, ulaji mafuta na upatikanaji wa spare. Asanteni sana
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wataalamu naombeni msaada wenu juu ya hii gari leo nimejatibu kuiwasha lakini inaishia tu kutoa cranking sound ila haiwaki.. taa za dashboard zinawaka zote lakini taratibu.. hata taa za nje...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Jamani mashine yangu haina cabuleta msaada kwa yeyote anayeweza kuipata anichek nipo Moro kilombero no 0764677640,0713363555
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom