JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Msaada please [emoji120] [emoji22] [emoji24] Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
4 Replies
619 Views
Kwa wale wenzangu enthusiasts wa driving stretch ya DSM -Mbeya and beyond. Nimewawekea clip ya sehemu za Iyovi. Sehemu hizi inabidi upende usipende uendeshe kwa adabu, na spidi ndogo. Uki...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Mambo ya ushabiki na ulimbukeni wa Ligi za Mabasi upo sana Mkoa wa Mbeya Sasa sijajua tatizo Huwa ni nini hasa? Mbona mambo ya ushabiki wa Ligi za Mabasi haupo Mikoa mingine isipokuwa Mbeya tuu...
2 Reactions
12 Replies
936 Views
Habari wakuu hii gari aina ya toyota hizi toleoo la mwaka 2020 kama sikoseii nigari bora zaidi kutolewa kwenye matolea ya landcruiser prado ndomana hata serkali yetu inayaagiza kwakasi sasa...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Wazoefu wa magari naombeni uzoefu wenu juu ya haka kagari upande wa matengenezo yake kama upatikanaji wa spea zake na ustahimilivu pia.Ni nini cha kuzingatia hasa maana nahitaji kununua used kwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa East cars, dr.Mechanics, Mshana jr, Samatimes
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Sote tunajua engine ndio kitu cha msingi zaidi kwenye gari kwani kupitia injini ndo tunapata mjongeo wa gari na sehem nyingine kufanya kazi. Watu wengi humiliki magari bila kujua namna bora ya...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili)
0 Reactions
3 Replies
549 Views
Jee ukinunua gari mpya kutoka nje ya nchi pale bandarini kuuingiza nchini TRA wanakata sh ngap? Mfano nimenunua gari ya kutembelea ndogo ya milioni 5 jee kwa hii gari watanikata shilingi ngapi?
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Juzi nilisafiri kwenda nje ya mkoa ambako ilitarajiwa nikae siku 5. Kwa ajili ya mazingira ya usalama nikaamua gari niliache kwa rafiki yangu ambae pia tuna kawaida ya kuachiana magari endapo...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Nimetembelea mkoa wa Mtwara, nikiwa na gari aina ya Toyota Alphard. Changamoto inayonileta mbele yenu ni kwamba AC inapiga sana kelele kiasi kwamba huwezi kuvumilia. Naomba msaada nijulishwe...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari great thinkers Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/= Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray...
5 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu kuuliza sio ujinga.
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji. Kwenye reserve...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Wakuu habari za wakati huu? Ningependa kufahamu hizi gari zimekumbwa na shida gani mpaka watu kuanza kuziuza kwa kasi sana tena kwa bei kutupa kwa gari kali na yenye hadhi kama hii. Imefikia...
14 Reactions
163 Replies
16K Views
Higer inauzwa Engine_Scania 93 Model KLQ6145A Siti 52 Inatembea ila inachemsha Bei_ Tzsh30,000,000/= Call,sms,whatsap 0759399805
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Kwa muda sasa redio yangu haina remote kitu ambacho hunifanya ili nibadilishe njia ya matumizi ya redio au tv kunilazimu nisimame nikabonyeze button. Je, ninaweza kupata remote yenye uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
600 Views
1. Prado (ubora na wingi) 2. Subaru (ubora na wingi) 3. Rav4 (wingi) 4. Vitz (wingi) 5. IST (wingi) Usichanganye bajaji na IST, IST ni gari.
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani nimetafakari kuhusu biashara zangu nikaona bila kuwa na usafiri wangu binafsi nitaendelea kuteseka mno kwa kudandia dandia za watu. Nimeamua kutafuta usafiri wangu binafsi kutoka kwa mtu...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom