JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
ipi gari ni nzuri kwa kununua naomba ushauri
1 Reactions
3 Replies
672 Views
Habari nahitaji kujua nauli ya kutoka Sumbawanga mpaka Karatu Arusha Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
9 Replies
639 Views
Yeah 2002 Engine cc 1490 4wheel Location Dodoma Bei 12m
0 Reactions
1 Replies
396 Views
Salamu,ifuatayo ni orodha ya Unreliable Cars ukiwa safarini.Hakuna uhakika wa kufika Kwa 100 asilimia 10. Nissan 09. RAM 08. Cadillac 07. Ford 06. Tesla 05. Chevrolet 04. GMS 03. Volks Wagen 02...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Check Video, Kuwa makini unaponunua oil ya gari yako.
3 Reactions
9 Replies
688 Views
Wana Jf ni matumaini yangu nyote humu mu wazima. Ninaomba kufahamishwa kwa wanao ifahamu njia ya ya sinza kijiweni kupita Tandale mpaka kawawa road kuna magari mengi sana ambayo ni kama...
2 Reactions
34 Replies
8K Views
Hello wana jukwaa, Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na mapumziko ya mwisho wa wiki. Moja kwa moja kwenye mada, naomba wenye uzoezi na hii gari wanisaidie AUDI Q5 1.Spare parts upatikaji...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za muda wakuu, Naomba ushauri juu ya haya magari mawili. Lipi ninunue 1. SUZUKI JIMNY 2013 1.3L, manual transmission. Hii gari ilinunuliwa mpya 0 km, hivyo usajili wake ni no. C. Ilikuwa...
3 Reactions
63 Replies
13K Views
Habari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti...
8 Reactions
89 Replies
6K Views
Gari za byd yangwang zinazotengenezwa china mwenye kujua zipoje.je kwa afrika zinafaa maana wanateknolojia ya umeme na smart AI nyingi sana kwenye gari. Sifa ya injini yake inajitengenezea...
0 Reactions
5 Replies
635 Views
Naombeni ushauri kuhusu hii gari naenda kuilipia leo. Sina ufahamu wowote nimependa space tu.
1 Reactions
5 Replies
790 Views
Hii gari ni TAMU na inakimbia
18 Reactions
164 Replies
27K Views
Hii ni engine ya Audi A6, 2.0L mwaka 2009. Hiki kifaa kwenye picha kilichozungushiwa mstari kinaitwaje kitaalamu??? Asanteni
0 Reactions
1 Replies
411 Views
Wife toka last week anataka nimnunulie Toyota Premio ya 2007. Nimeiangalia hii gari engine yake ni 1990 CC, D4. Kuna kipindi mafundi wengi walikuwa wanaziogopa sana engine za D4. Je, wadau...
3 Reactions
33 Replies
25K Views
✓Gari kukosa nguvu ni kitendo cha gari kushindwa kufanyakazi kazi katika uwezo wake wa kawaida kitaalamu matatizo yanayopelekea gari kukosa nguvu yamegawanywa katika makundi matatu nayo ni...
2 Reactions
1 Replies
973 Views
Salaam kwenu, Kati ya malengo yangu mwaka huu ni kubadilisha gari, basi nikaingia sokoni kusaka gari mpya nikavutiwa na Toyota Rush ambayo ina 4 wheel drive na pia cc zake sio kubwa ni 1490 ila...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari ndugu wana Jamii forum, Leo wakati natoka kwenye mishe mishe zangu nikiwa nadrive, nimegundua taa ya indicator ya kulia inablink harakaharaka kushinda ya kushoto je ni tatizo. Naomben...
3 Reactions
7 Replies
725 Views
Brake fluid kuvujia onto brake booster housing... yaani kwenye makutano ya Master Cylinder na Booster panavuja mpaka rangi ya booster housing imemenyeka (booster paint peeling off) coz of such...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Back
Top Bottom