Katika gazeti la Mwananchi la leo, 30 Juni 2015, ukurasa wa 7, Baraza la Mitihani la Taifa limekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao na ujumbe mfupi kuwa Ratiba ya Mitihani ya Kidato cha Nne...
Msaada kwa wale wenye ujuzi na maswala ya mikopo ya elimu ya juu, je kwa waombaji ambao wametuma fomu bila kutoa vivuli, watafanyaje pindi wakikosa mikopo kupata ushahidi kwamba waliomba?
Mimi tangu juzi nimetuma pesa kupitia mpesa kwenda TCU na sms ya uthibitisho kutoka Vodacom ikaja kuwa ile pesa imeeenda TCU lakini sijatumiwa voucher number hadi leo kutoka TCU.
Nnimewapigia...
Tunataka kujua post zinatoka lini tumechoka kukaa nyumbani
Ni mwezi wa tano sasa umetia hatuoni dalili zozote au fununu kuhusu post za kidato cha tano, kwa kweli serikali ituonee huruma huku...
Habari zenu wa kuu, Mimi ni mwanafunzi wa first year bachelor degree in Water resources Engineering, chuo Water development and management institute. natafuta field popote penye mradi/project ya...
hivi jamaani nisaidieni, unapotest hizo sukari kipi inashauriwa uanze? au ni vyovyote tu upendavyo.
pia ukitest reducing sugar (glucose) ukaiona na umepewa reagents za kutest pia non reducing...
Wadau nilileta swala la yule kijana aliyepata
tatizo la kulogin kwa Mpesa ID kwenye form ya kuomba mkopo HESLB.Alikuja hapa Dar na kufikia kwangu ili afuatilie ofisini kwao. Binafsi nilipigana...
Wadau,
Mimi nilihitimu kidato cha sita mwaka jana,sasa kabla sijafanya aplctns nikalipa hela TCU kwa M-pesa na ikaenda na TCU wakanitumia voucher. Baada ya kuanza kulipitia lile book la...
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ni chuo kikongwe na chuo kinachotambulika kimataifa lakini chuo hiki nimekuwa na kasoro ktk eneo moja nalo ni kutokuwa na andiko la kitaaluma kwa shahada ya...
Majina ya batch two kwa wale waliomba kudahiliwa upya kwa mwaka wa masomo 2015/16 yanatoka lini maana mpaka sasa sijajuha msahada wenu.
Maana na mie mhanga wa hlo tatizo maana na barua...
Ndugu wenzangu, naomba kujuzwa jinsi ya kufahamu kama chuo kimesajiliwa na NACTE au hamna. Kuna chuo kinataka kutoa diploma ya elimu kinaitwa King Rumanyika kiko Bukoba. Naomba kujua kama kina...
WAPINZANI HAWANA NIA YA DHATI YA KUSHIKA DOLA.
Vyama vya upinzani bado havijawa na nia ya dhati ya kushika dola ya nchi hii. Vyama hivi vinakosa sifa ya kuwa na nia ya dhati ya kushika dola...
Mambo vipi wadau!
Natafuta CPA review class ambayo ipo wilaya ya kinondoni eneo lolote lisizidi ubungo, Tegeta na Moroko ili niweze kusoma kwakuwa itakuwa karibu na eneo nililopo kikazi. Msaada...
Jamani Norway kuna scholarship 800 for 2016 Bachelors,Master na Phd. ni kwa ajili ya nchi zinazoendelea. please apply if are interested or pass along to those who are interested.
Bonyeza link...
habar wana jf,juz nililipa pesa kwa mpesa leo ndo nikapata msg kutoka tcu,cha ajabu nimefanya self registration vizr nikaweza kulogin lkn nikiclick additional details inatiki kwenye set secret...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.