Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kiko mbioni kuanzisha Shule Kuu ya Udaktari kwa ajili ya kozi za utabibu. Hiyo itakuwa ni hatua ya kurejesha Shule ya Udaktari baada ya Muhimbili kuwa Chuo...
3 Reactions
14 Replies
6K Views
Ndugu wanaJF mimi napenda kujua hali ya kikosi cha Ruvu pakoje, Je! Ni porini sana na zipi kazi za pale? Msaada kwa anayejua!
0 Reactions
51 Replies
16K Views
Vyuo 16 vimeshushwa hadhi na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kutokana na sababu mbalimbali na pia Vyuo vitatu vimefutiwa usajili. Taarifa kamili itawajia muda mfupi ujao...
1 Reactions
42 Replies
32K Views
Waungwana. Kuna mgogoro unaendelea hapa Chuoni kwetu (UoA) kuhusu Assuarance Fees toka kwa TCU. Chuo kinataka kila mwanachuo alipe 20000/=Tshs kama agizo toka TCU lakini baadhi ya vyuo vimelipa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
kutokana na matokeo ya kidato cha nne mwaka 2013,wanafunzi waliopata daraja la kwanza hadi la tatu yaani(div.1-3) walikuwa 71,527,lakini walio bahatika kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa...
0 Reactions
57 Replies
78K Views
Wadau, Inasikitisha. Watoto wa walala hoi mpaka leo wapo majumbani wakati wenzao wanakaribia kurudi likizo. Je, serikali ina dhamira gani?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mwanangu ana matokeo ya F4 ambapo amepata E zote na F moja, nataka nimpeleke nursing je ana sifa? naomba ushauri wenu wana jf........... mkoa wowote
0 Reactions
54 Replies
6K Views
niko mbali na chuo nilichochaguliwa ila nimemuomba jamaa angu anisaidie, wamemwambia inabidi adownload form ya tcu, sijaelewa ni form ipi inatakiwa aidownlaod, anaefahamu naomba anielekeze ni form...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TAMKO LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA KITIVO CHA ELIMU UDOM. Kutokana na kubainika kwa ubadhilifu wa kutisha katika akaunti ya UDOSO kama itakavyo kuja kubainishwa hapo baadae katika ripoti rasmi...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Kwa ambaye anajua shule wanayofundisha ufundi cherehani kwa manispaa ya kinondoni
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kilimanjaro Film Institute (KFI) will conduct the Master class course intensive one month at its compound in Arusha from 29th June -29th July. It is our pleasure to invite you to register...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Nasoma Certificate in MEDICAL LABORATORY nataka nikimaliza nibadilishe kwenda Diploma in CLINICAL OFFICER inawezekana? Msaada!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Heshima mbele wadau. Naulizia voucher za TCU zinapatikana wapi ili niweze kufanya application ya chuo. Nimekwenda bank ya CRDB na NBC kuulizia nkaambiwa bado hazijaja. Mwenye kufahamu sehemu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wanajamvi wanaopenda kusoma kwa upana (widely)kama mimi nina habari njema. Leo hii katika pitapita yangu nimejikuta nikipita KASE Bookshop (Arusha) iliyopo jengo la KKKT ili kuona...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
DO YOU KNOW HOW TO UTILIZE MS EXCEL FEATURES? I confidently believe that most people will answer YES. It is right always that people lie, but it is more likely that they just don't appreciate...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale walioomba vyuo mwaka huu hebu chekini programme zenu for eligibility. Cheki kama uko eligible kwa kugonga link ya check for eligibility na kuvalidate proramme zenu. Kuondoa usumbufu wa...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Hawa hapa ni wanafunzi walio kuwa wamepangiwa vyuo kwa miaka ya nyuma na kwa sababu moja ama nyingine waliahilisha mwaka kwa wakati huo.hivyo kwa mwaka huu wakaomba kudahiliwa upya haya hapa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba uzoefu na stahiki ntakazozipata toka kwa mwajiri endapo ntaenda kusoma Uganda. Napenda kwenda kusoma shahada ya uzamili nchini Uganda kwa sababu yangu binafsi; zikiwemo 1. Gharama ndogo, 2...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAKUU NAOMBA MNISAIDIE TOFAUTI YA HIZI DEGREE KOZI Bsc.IN education&Bsc. WITH education. NA., JE, IPI NI BORA KAMA NATAKA KUWA MWALIMU?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, eti mwalimu japo anazingatia silabasi je ni sahihi sana kuandaa notice kupitia internet bila kutumia kitabu cha somo husika?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom