selection ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa mwaka 2015,ni dhahiri kwamba zitatoka wiki tatu kabla ya kufunguliwa kwa shule kwa muhula wa pili,chanzo cha tetesi hii ni...
Nimemaliza form six mwaka huu natarajia kuingia elimu ya juu. Napenda sana kuwa mwanauchumi, katika tafiti zangu nimekutana na degree hizi.
1. BA In economics UDSM
2. BSc. Agricultural Economics...
Habari wana JF kuna dogo langu kamaliza mwaka jana na matokeo yake yakaja, hivi ana credit 2 alafu ana e mbili. Msaada wa kimawazo anaweza pata chuo gani ambacho kinatoa ajira kwa haraka kwa...
Hongereni tena wakuu maana mtandao wa www.policetz.go.tz umetoa maelekezo na majina yenu hongereni saana ila msisahau masharti na kanuni kila heri.
Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na...
naomben mnisaidie ....kujua kuna utaratibu gani wa kufuataa wakati wa kuomba mkopo kwa sie tulimazma form six mwaka jana baada ya kukosa ...sikwenda kulpoti chuo ....
Ovyo: Wale mnaweka namba za simu na email humu, kuna watu wanapiga simu wanadai wao ni tamisemi au mfanyakazi wa tamisemi dodoma kisha anasema yupo hapo kukusaidia.
Kuwa makini waepuke hawa...
Habari wakuu.
Nina ndugu yangu anatafuta shule za Cambridge ambazo zinafanya mitihani ya nje. Mwenye ufahamu wa hizo shule zaidi ya ALMUNTAZIR na MZIZIMA hajazipenda.Mwenye kujua zingine ambazo...
1.Je,MUM wanatoa "Bachelor of science with education for geography & biology?
2.Nijuzeni kuhusu campus,je first year wanaruhusiwa kupanga chumba OUT OF University Campus?
Habar zenu; nilipomaliza form six sikuenda kuchukua cheti changu; sasa yapata miaka miwili toka nimalize chuo; naona Kama ntakihitaji kwa haraka na sasa Niko mbali na mkoa huo; je kunataratibu...
Wadau naomba kujuzwa kuhusu ubora wa masters degree zinazotolewa chuo cha uhasibu Arusha. Nahitaji kusoma MBA- PSM lakini napata mashaka na soko lake la ajira kwani sijawahi kuona masters degree...
wanajukwaa nawasalimu kwa iman zenu.
nimeshangaa sana leo nilipokutana na mwalimu wa cheti ktk mazungumzo nijikuta namuuliza "hivi tanganyika ilikuwa jamhuri tangu lini?" majibu yake yakawa...
Wakuu mi ni mhitimu wa kidato cha sita.
Nimeshndwa kwenda kwenye kambi nliyopangiwa kutokana na hali ngumu ya kimaisha, najsomesha hapa nlikuwa natafuta hela ya kuomba mkopo.
Bado wazazi wangu...
WANAFUNZI CHUO KIKUU ST.JOSEPH ARUSHA WAWEKA MGOMO Wanafunzi wa chuo kikuu cha ST.JOSEPH kilichopo Kisongo mkoani Arusha wameitaka serikali kutoa tamko kwa chuo hicho kwamba ni cha halali ama sio...
Ni mara yangu ya kwanza kufanya interview.
Niliomba nafasi ya kujiunga na masoma kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika Chuo Cha Sanaa na Muziki Bagamoyo ambapo jana nimetumiwa sms kuwa nataarifiwa...
Nimeamua kuandika hili jambo muone ni jinsi gani wanavyuo tunavyo nyanyaswa na kulazimishwa kulipa malipo ambayo hayako uniform kwa maana kwamba badhi ya vyuo kama SUA, MKWAWA, UDSM na vingne...
swala langu nikuhusu special program ya diploma walimu wa sayansi and mathematics Dodoma .je nivigezo vipi wanaviangalia ,halafu je mwaka huu watachukua ? nani kuanzia mwezi wangapi maombi...
Why does the evolutionists don't want to participate in debates where evolution is pitted against intelligent design? And, it's very hard for us to have their side presented in a debate.
I...
Habari wakuu.
Nasikitika kusema nimepoteza Cheti Changu Cha Form 4. Cheti hiko kimepotea pamoja na vyeti vingine ambavyo nilimpa bibi yangu anitunzie kwa kipindi hiki ambacho bado naendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.