Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau naomba mnisaidie majina ya vyuo vinavyotoa diploma ya journalism hapa Tanzania coz kila niki-google nachemsha. Mkinisaidia vilivyoko dar es salaam ntashukuru zaidi
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habar wana JF! Nnauliza kwa mtu aliyepata chuo mwaka jana lakini hakwenda kuripoti inasemekana ili aweze kuomba mwaka huu lazima aandike barua, je ni kweli? Na barua unaambatanisha na nini?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serikali kupitia wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi iko mbioni kuwafukuza kazi maafisa sita wa ngazi za juu wa tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU). Kutokana na uzembe uliofanyw kupeleka wanafunzi...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hizi ndio shule bora za serikali tabora boys>pcm,hgl mzumbe pcm &pcb. Kibaha pcm,eca&pcb ilboru pcm,hgl nyingine ntataja
1 Reactions
59 Replies
48K Views
Nataka kujua hiki chuo kila mwaka wanafunzi hasa wa education hucheleweshewa hela yao na wanapogoma wanafukuzwa na serikali haisemi kitu. Je, ni kweli kwamba kuna wakubwa wanahisa zao kwenye...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu! Licha ya academic certificates, transcripts, CV, statement of purpose na recommandation letters, hati ya kusafiria (passport) nayo inahitajika kama attachment katika maombi ya...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za kazi wakuu! Nahitaji sehemu ya kuwa nafanyia mambo yangu ambayo ina mazingira ya library, mwenye kufahamu hizo sehemu kwa Dar es Salaam anifahamishe. Natanguliza shukrani!
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Wakuu kwa wale wote wenye uelewa wa shule hizo naomba kujua ubora na udhaifu wa hizo shule mana kuna mtoto wa dada anatarajiwa kuanza kidato cha 5 hapo badae mwezi wa 7 hivyo nahitaji kujua...
0 Reactions
1 Replies
29K Views
Naomba msaada wakuu ivi wanaojiunga na vyuo vikuu mwaka huu 2015 walisha anza application?. Maana kuna chalii wangu kamaliza form six mwaka juzi na mwaka huu anataka kujiunga na chuo kikuu.Kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mambo yamekuwa mambo, kampala hapatoshi....!,baada ya ustaarabu na uvumilivu mwingi sasa kauli ya MH. Pinda ya kwamba "WAPIGWE TU" yatekelezwa,polisi watumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mamlaka husika katika uwekaji wa kumbukumbu za watumishi zake hasa upandaji wa vyeo/madaraja ni wa ovyo na tuna mashaka na watendaji wake kama kweli wanazingatia taratibu husika kwa mtumishi...
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Wakuu kuna jamaa ameshatuma form yake ya maombi ya mkopo heslb lakini pale kwenye certification by local gvt leaders waliandika tu majina yao,sahihi,tarehe na muhuri wa ofisi wala hawakukata pale...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Habari zenu guys, naomba mwenye softcopy ya silabas ya mathematics ya o-level anitumie kupitia bucha6@ymail.com. Asante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Naomba kufahamishwa wapi nitapata vitabu vya account kwa jili ya kufanya mitihani ya CPA. Pia kama kuna mtu ana vitabu vya account vilivyo katika soft copy tusaidiane. Thanks
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB. Je, kutakuwa na effect yoyote endapo ntakapoomba TCU na kuweka kozi ya Ualimu mwishoni. Nasikia hata kama ukipata division One ukijaza Education...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
jamani naomba kuuliza ni shule gani ya boarding ya boys tu iliyonzuri kwa mchepuo wa PCB ukiachana na mzumbe,kibaha,minaki na feza
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Za siku nyingi wana JF.Naomba msaada wa kujuzwa tatizo linalonikabili la kukwama katika baadhi ya hatua za kufuata wakati ninapolipia maombi ya Mkopo kwa njia ya M-Pesa. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Je umeteseka kutafuta wa kubadilisha ? Je unataka kuhamia kwenu? Je mkeo yupo mbali nawe ? Sasa ni wakati wako kufurahia kazi ukiwa na mazingira utakayo wasiliana nami kwa kupiga simu ktk...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tatizo namna yakuaplay loan
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…