Habari wanajamii, kuna habari ambazo wanachuo wanaosoma katika vyuo vya kilimo kwa ngazi ya cheti kama mati Uyole, Tumbi, Ilonga, Ukiruguru, Mlingano, Mati Mtwara na vingine kwamba wanapotarajia...
Nipo mkoa wa Tabora
wilaya ya KALIUA
kata ya usinge
na kituo kipo centre nataka kwenda
iringa, /mbeya. katika wilaya yoyote.
nitafute kwa PM MESSEGE AU +255763930623
Mwishoni mwa mwezi wa tank serikali kupitia wizara ya afya ilitoa barua ambayo ilikuwa ikielekeza kuwa mwaka wa masomo 2015/2016 serikali haitahusika kutoa chakula kwa vyuo vyote vya diploma hapa...
im about to graduate at the university of dar es salaam, taking B.A.with education specialised in Fine art and Geography . capable of teaching - drawing techniques( pencil pen color pencil etc.)...
Wadau, katika kupitia brochure ya TCU, nimeona kuna vyuo vinatoa course ya Bachelor of science in civil engineering na vingine vinatoa Bachelor in civil engineering, na Bachelor of engineering in...
Salaam,
Wadau mimi nina Advance Diploma in Journalism nataka mwaka huku nisome Lugha ya kigeni,
Je ni lugha gani ambayo kwa Tanzania inasoko sana
Mf ;Kijeruman,kifaransa,kihispania na...
Ivi inawezekana chuo kikuu kujitoa na registration ya TCU? Alafu inakuwaje kwa Graduates wao wakienda nje ya chini wakitaka ku apply maana si inabidi vyuo vya nje virudi huku ili kupata usahihi wa...
Habari zenu wakuu na shughuli za kujenga nchi, ningependa kuuliza, Je, unaweza kusoma bachelor ya civil engineering then master ukasoma petroleum engineering?
Natanguliza shukran kwenu
chuo kikuu cha kampala international university leo saa 9;00am wanafunzi wamefanya mgomo wa kufanya course work baada ya kungundua kuwa matatizo yao hayajatatuliwa wakiwa wanaililia serikali ja...
Ndugu zangu wana jamii Forums nawaomba ushauri wenu. Mimi nina Binti yangu amemaliza kidato cha nne mwaka huu na hivyo nataka kumtafutia shule binafsi za wasichana za A level. Naomba mnishauri...
Kuna ndugu yangu anamaliza diplom ya civil engineering mwaka huu. Anataka aunge degree.
Sasa anataka aombe mkopo lakini tatizo ni sehemu ya kuambatanisha cheti cha diploma, vyeti bado na mara...
Washikadau/Watangazania/Wadau wa Mambo ya elimu msaada tafadhali:
Kuna dogo amemaliza Advance Diploma in Journalism, Je ataweza kusoma ngazi gani inayofuata ? Wafuatao walikuwa na mtazamo tofauti...
kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu tafadhali tafuta sana kitabu cha (robert kiyosaki-rich dad poor dad) kitakuwa msaada sana hasa kwa wale wanaowaza kujiajiri. kitakupa mbinu za kufanya uweze...
Wana bodi heshima kwenu.
Wakati nafuatilia mchakato wa uhamisho, nimekutana na somo tajwa hapo juu, hali iliyopelekea kuleta hoja hapa ukumbini ili tuwe na mjadala wa wazi mwisho wa siku tuwe na...
Wadau heshima mbele..
Naomba kujuzwa shule nzuri ya wasichana ambayo wanafundisha Combination ya PGM. Binti yangu amefaulu vizuri Form IV na ufaulu wake unamuwezesha kusoma PCM au PGM.
Kwa sasa...
Jamani wakuu, kuna hizi course mbili "bachelor of education in science na bachelor of science with education" nashindwa kuelewa tofauti yake hasa katika "fields of work" kwa walozisoma.Yeyote...
Asanteni wadau wote kwa kuwa pamoja kipindi chote cha kusubiria ajira,kama nilivyoandika hapo juu namshukuru Mungu kupata fursa ya kufundisha shule kongwe ya wilaya ya Ruangwa,naahidi kufundisha...
Habar wana jf,nauliza kwl wale waliopata chuo mwaka jana lakn hatukuenda wala kuandika barua hatuwezi pata Chuo mwaka huu??? Plse mwwnye uelewa au km kuna mtu yamemtokea haya aje atushuhudie!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.