Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu dodoma dogo John ambaye pia ni rais wa Tahliso apinduliwa rasmi leo kwa kushindwa kuwatetea wanafunzi anowangoza na mapinduzi hayo yamefanywa na wanafunzi...
Kwa muda mrefu nimekuwa na ndoto katika uhalisia kuja kumiliki chuo kitakachokuwa kinatoa kozi mbali mbali katika ngazi ya Certificate na Diploma. Kozi hizo ni:-
-Uhudumu Wa ndege.
-Uhudumu wa...
Nawasalimu wote humu ndani!
Mimi ni mgeni naomba mnipokee, japo mara nyingi huwa napita kusoma.
Naomba msaada kwa wanaofahamu jinsi ya kujiunga na Post Graduate ya Education , Open University...
Walimu Waliokosa Ajira Awamu Ya Pili Walifurika Leo Makao Makuu Tamisemi Dodoma Na Katika Tawi La Tamisemi Daresalaam Wakilalamika Kuachwa Kwa Mara Ya Pili Tena.. Unadhani Nini Tatizo?
Au...
Jamani, sie walimu wapya tunapewa lini hela ya kujikimu na mshahara wa mwezi wa tano? Maana tumeshariport kazini, hali ya kiuchumi sio nzuri, tunaomba kufikiriwa.
Kuna mdogo wangu anataka kujiunga na institute of social work sasa hiki chuo hakina course hata moja ambayo ni priority sasa akijiunga na hiki chuo si ndio majanga.
Kakipenda but ndo hvyo...
AFRICAN BRIDGE TO EDUCATION
By Alex John Luketa
Virginia International University students and alumni are passionate about business, technology, innovation, and bringing change to their...
Jamani kumekuwepo upotevu wa nyalaka,vyeti na mafaili mashuleni na vyuoni sasa jambo hili lifikie mwisho kwa kuhifadhi nyalaka kielectronic na sio mafaili tena,tunalitegemea hili kufanikiwa chini...
wadau tuwafichue na kuwataja watumishi wa vyuo mbalimbali ambao wamekuwa ni kero kwa wanafunzi kusoma na kujipatia elimu iliyo bora...m nlisoma ifm jamani watumishi wa pale wanaringa kama...
Habari wakuu,nakusudia kumpeleka mdogo wangu ajifunze vizuri kiingereza cha kuongea na kuandika.Naomba ushauri wa sehemu gani nzuri naweza kumpeleka ukiaachana na British Council.Pale nimeona...
Kama kweli tunajivunia kuwa na vyuo vikuu vingi na tunatoa wahitimu wengi kila mwaka, inakuwaje sasa mambo hayaendi vizuri hasa kimaendeleo hapa nchini Tanzania?
habari zenu wakuu,ninatatizo moja hapa linaniumiza kichwa mno.
suala ni kwamba nimemaliza diploma ya Computer Science and Engineering
na ufaulu wangu ni 3.3GPA.Mwaka huu nataka kuapply bachelor...
Najua humu kuna walimu wa ngazi mbalimbali na wenye elimu na uzoefu kutoka seheme mbalimbali. mimi ngependa kujua kwanini taaluma ya ualimu ni tofaut saana na taaluma zingne kama sheria na...
Wana Jf, habari zenu. Niko katika pilikapilika za kutafuta chuo cha certificate kwa ajili ya mdogo angu. Sasa nikawa nimefika Tengeru Arusha ili kuchek uwezekano. Baada ya kufika Tengeru...
Join us July 27 August 14, 2015 for our Summer Institute in Management and Business Administration!
This program is our flagship summer program aimed at providing participants with...
Example of Hypothesis title; Wanafunzi wanaosoma usiku wana faulu zaidi mitihani yao kuliko wanafunzi wanaosoma mchana, nitakuwa na (Null Hypothesis (Ho) (P<0.001, P<0.01,P<0.05)) na (Alternative...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.