Habar wana JF nauliza hasa kwa mtu aliyejaza hii form ya mkopo kwa ajili ya program maalumu ya ualimu(diploma in sc/mathematics). Kuna sehemu ya kujaza haina form IV. Ina form 6, diploma na...
Nikweli chuo cha mwalimu nyerere memorial huwa kinapewa priority ya mkopo kwa kozi zote mpaka human resource?.Maana mwaka huu naona course zote zna priority
Zishatoka tayari kama hujapata tena no way mshukuru Mungu tu kwa kila jambo. Na kama umepata rudi hapa useme asante Mungu.
USHAURI: Nendeni mkafanye kazi!
Habari ndugu zangu!
Tunafanya admission ya kimasomo nchini India (Bangalore university) kwa course za arts, science na biashara, kwa ngazi za diploma, degree na masters kwa mwaka wa masomo...
Habari naomba mnisaidie vyuo ambavyo vinatoa pre university courses/short courses kwa ajili ya kujiunga na university especially engineering,computer science,applied statistics,natural science.
Ndugu wanajamiiforum;
Nimepitia kwenye website ya 'MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING' pamoja na ile ya NACTE nikakutana na majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kozi za ualimu...
Nahitaji mawazo yenu guys naandaa novel inaitwa TANZANIA IN 2115 itahusu maendeleo ya teknolojia, siasa na uchumi miaka 100 ijayo.
Nakaribisha, Maoni, ushauri, nk
Wakati vita ya kupambana na ufisadi ikisonga kwa kazi nchini Tanzania kumeibuka kijana mmoja ambae ni fisadi zaidi ya wale wa Richmond, EPA na ESCROW. Kijana John Fransisco Nzilanyingi ambaye ni...
Habari za majukumu wana Jf,naombeni mwenye soft copy ya kitabu Cha history kiitwacho MASTERING MODERN WORLD HISTORY BY NORMAN LOWE, edition yoyote ile namaanisha au edition ya kwanza hadi ya tano...
Endapo wanafunzi watalipa nauli za wakubwa kwenye dala-dala, mojawapo ya faida ni kwamba: HAWATA ACHWA KABISA VITUONI NA USAFIRI WAO UTAKUWA NI WA UHAKIKA.
Je upande wa HASARA ni nini? Kama...
Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu Dodoma ndugu John Francisco ambaye pia ni rais wa Tahliso apinduliwa rasmi leo kwa kushindwa kuwatetea wanafunzi anowangoza na mapinduzi hayo yamefanywa na...
Naomba kujua hivi kidato cha sita wasioona majina yao kwenye kambi yoyote ndio awamu ya pili au majina yote yatatoka kwa maana hakuna awamu mwaka huu?
Tusaidiane jameni
Habari wapendwa.
Mimi ni Mtanzania ambaye nimebahatika kumaliza elimu ya Sayansi ya Kompyuta (BS CS) katika chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Mimi siyo mwalimu kwa taaluma (professional) ila...
Ni kweli kuwa mshahara wa kwanza lazima uupokelee mkononi kutoka halmashauri? Namaanisha kuwa mshahara wa kwanza kabisa hauingizwi kwenye account yako?
Habar yenu wakuu? Mimi ni form 6 leaver nimesoma CBG natafuta nafasi ya kuwa mwalimu wa tempo katika shule yoyote kwa masomo tajwa hapo juu.kwa anaefahamu shule inayohitaji plz msaada anambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.