Habari zenu members, naombeni ushauri wenu maana hapa nilipo nipo katika
msongo wa mawazo, ni kwamba mimi nasoma chuo flani hivi, bachelor of accountancy
nipo mwaka wa pili mwakani ikibidi...
Mwenyekiti wa shirikisho LA Vyuo vikuu nchini na ambaye pia ni Rais wa Kitivo cha Elimu (college of Education) chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) Leo ameponea chupuchupu baada ya kuonekana maeneo ya...
Nimeangalia taarifa ya ya habari ya Clouds TV saa tano hii .. Nimesikitishwa sana na darasa lililopo kichochoroni katika jimbo la mtera kwa Muheshimiwa kibajaji. Nikikumbuka vijembe vyake na...
Baadhi ya maneno yaliyonukuliwa na baadhi ya walimu ambao hawakuona majina yao kwenye orodha ya majina ya ajira awamu ya kwanza, majina yao yatatoka kuanziaa wiki la pili la mwezi wa tano...
Habari wadau,
Leo nimeona nitumie wasaa huu kuwa msaada kwa walimu wa shule za serikali kuhusa Mambo mbalimbali yahusuyo UTUMISHI wao:-
1.Ajira
2.Kuthibitishwa kazini
3.Kupanda daraja/ cheo...
polen na majukumu kuna wachangiaji wa jukwaa hili walituletea habari kwamba jkt kwa kidato cha sita imefutwa kisheria sasa leo tunasikia habari tena kwamba madogo wanatakiwa kuripot maeneo...
waungwana nahitaji kujiunga degree ya ualimu moja kati ya hizo nilizozitaja hapo juu,naomba kwa walio na uzoefu waniambie ipi kati ya hizo ni bora?na ipi nikimaliza naweza kufanya master ya...
Habari! Nimeskia kwamba chuo tajwa hapo juu wanatoa diploma hata kwa mwalim idara ya msingi sasa mimi inanichanganya kwakua kuna watu wanasoma hiyo kitu ila nikiwauliza baathi ya maswali...
jamani wenyewe uelewa wa course hizo hapo juu naomba anijuze tofauti zao ni nini? na pia niliskia kama ni kweli kama ukisoma bsc in education huwezi kutoka tena kwenye ualimu?
i.e huwez kufanya...
habari wadau in this Forum, mimi ni mwanafunzi wa sheria nasoma Mwaka wa Nne chuo kimoja hapa Dar. nimepata wakati mgumu sana kuchagua nifanye masters ya nini nikimaliza chuo mwaka huu mwezi wa...
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate...
kwanza kabisa heshema kwenu. kama mada ilivo uhondo uko hivi: kwa aliyetayari usafiri bure, ada ya nyumba miez sita na ofa zngne kwa aliyetayari kubadili kituo cha kaz mi nije magu yeye aje...
Rais wa chuo kikuu cha udaktari cha KCMC Moshi ndugu Telesphory Mula amesimamishwa masomo na uongozi wa chuo icho.
Sababu za yeye kusimamishwa masomo ni kupigania maslahi ya wanafunzi hasa wale...
Ada elekezi kwa vyuo vikuu nchini itatolewa lini?.Au zilikuwa mbwembwe tu.
kama kichwa cha thread kinavyo sema
tcu guide book imetoka mwaka wa masomo
2015/2016
ada bado zile zile ....je...