Nafasi za kusoma Uturuki chini ya udhamini wa serikali ya Uturuki(FULL SCHOLARSHIPS) kwa UNDERGRADUATE,MASTERS na PhD. Katika fani zote.
Applications ni kuanzia tar 25.02.2015 hadi 31.03.2015...
She's a big fan of Disney's Frozen, and loves playing with her dolls.
But Esther Okade is also a university undergraduate after starting a degree at the age of ten.
Esther, one of the UK's...
Wanabodi,
Mimi sio mtu wa mahesabu, ila leo nimefanya ugunduzi mkubwa wa mahesabu ambao unaweza kuleta manufaa gani katika ufundishaji somo la hesabu haswa kipengele cha kutafuta asilimia 50 ya...
Dear Parents. Greetings.
Acharya Institutes in Bangalore India offer study opportunities for our sons and daughters to achieve excellent and quality higher learning studies to realize their...
wana jm poleni kwa majukumu,shule ya diamond ambayo inafundisha katika lugha ya kiingereza ni shida.Darasa moja watoto 170 hilo ni la 4 C ambolo nimelifanyia uchunguzi. A ni 300000 kwa mwaka,kuna...
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano ninaejishughulisha na mchepuo wa HGL. Kwa kawaida geography huwa ninascore 60-90, english 60-85 wakati historia huwa ninascore 67 kushuka chini mpaka leo...
Habari wanajamvi!
Mimi mwenzenu kuna suala linanisumbua kichwani, naomba kuuliza hivi tuliosomea psychology katika masuala ya elimu naweza kuajiriwa kwa sabab nina somo moja la kufundishia ambalo...
Ndugu wana JF mie ni mfanyakazi lakini nataka nifanye mitihani ya CISA kwa kujisomea mwenyewe.
Naomba kwa mtu anayejua utaratibu wa jinsi ya kujiandikisha kufanya mitihani , mahala inapofanyiwa...
Tamko
3.1.2. Serikali itaweka utaratibu wa elimu ya awali kuwa ya lazima na kutolewa kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitatu hadi mitano kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja.
3.1.3. Serikali...
Habari wana jamvi,
Kama post inavyojieleza mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2014, matokeo yangu hayakuwa mazuri na siwezi kupata nafasi ya kuendelea high school maana sina credit ila nina...
Wakuu nina dogo langu anataka kurudia mtihani wa private candidate ila ana uliza kuhusu format ya mtihani huo kama una tofauti na ule watakao fanya 4m4 wa sekondari? Je una ugumu
Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ilola, Kata ya Ilola Itwangi, Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani hapa, mwenye umri umri wa miaka 12 (jina lake linahifadhiwa kutokana na umri wake), anashikiliwa na...
Katika moja ya matamko yaliyotelewa na Serikali kupitia Sera Mpya ya Elimu ni kuifanya lugha ya Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia katika ngazi zote za elimu nchini.
TAMKO:
3.2.19. Lugha ya...
Habari za miangaiko wakuu?
kwa wale wataalamu wa geography kuna swali la photograph linazingua hapa naombeni msaada wenu!
U.S.A Millitary aircraft with altitude height of 900m,ground height of...