Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

jamani mwenye kufahamu vigezo maalumu vya kuhama kituo cha kazi anijuze na process mzima ya kuomba kuhama pia
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Big up sana kijana wetu John umeituwakilisha vizur UDOM, kesho mapokezi yatafanyika viwanja vya COED, karibun nyote wana UDOM na wengine kumpokea rais wetu
2 Reactions
61 Replies
9K Views
Ningependa kujua shule ya awali huwa na miaka mingapi? swali la pili - na mtu huingia akiwa na miaka ngapi? Kuna silabasi yoyote au ni kila shule kujitegemea? Naomba majibu. Na msiwe wachoyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jambo ambalo lililopo UDOM ni kumuondo Philipo Mwakibinga ambaye ana mlengo wa CHADEMA na jambo hili linaonekana tokea wiki iliopita utawala walipanga katika kikao cha siri na viongozi wa Chama...
1 Reactions
68 Replies
13K Views
Tafadhali naomba kujua kwa wale wote wenyeji wa Dar - Es - Salaam chuo cha DIPLOMASIA Kurasini taratibu za kujiunga na chuo hicho kwa ngazi certificate au diploma, kwa nini kwasabu nina kijana...
0 Reactions
2 Replies
14K Views
Ninoma sana, kusu mikopo ya special diploma.
1 Reactions
95 Replies
11K Views
Naomba msaada nataka kusoma postgraduate ya sheria ni chuo gani kinatoa kwa hapa Tanzania? na vigezo vinavyohitajika ili kujiunga Mwenye kujua anijuze.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hii n kwa wale wanafunzi wote ambao majina yao yakusaini boom hayakutoka..inapita wiki tatu uongozi wa chuo na wanafunzi umelifumbia macho tatizo letu kila tukifuatilia ni majibu ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu wana jf poleni kwa majukukumu,kwa yeyote mwenye uwezo wakutusaidia udom prospectus atuwekee hapa ili iweze kutusaidia kufahamu mambo ya chuo kiundani zaidi,natanguliza shukrani.
1 Reactions
15 Replies
18K Views
Ningependa kufahamu kama kuna mtu anajua faida na hasara za kusoma hii course..is it Marketable?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Anayetaka kuja MUFINDI mimi nije MBOZI anitafute kwa namba hii 0755814442 idara ya sekondary
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba mnijuze jamani, nimeangalia ajira za waalimu tangu 2012/2013 na 2013/2014 nimeona waalimu wengi wameajiriwa vyuo vya ualimu mfano Butimba, Monduli, Vikindu nk. sijaona hata mmoja...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
.WARAKA NO M/D20/CL524....... YAH.MABADILIKO YA MUUNDO WA UTUMISHI NA MADARAJA KWA WAALIMU. ..................Waraka huu kuanza kutumika tar 1/7/2013 na sivinginevyo.hakikisha unatoa ushirikiano...
0 Reactions
87 Replies
20K Views
Binti yangu amemaliza Elimu ya sekondari na kufaulu kwa Pointi 12 katika masomo yote. Katika kutafuta Shule nzuri ya kuendelea na Elimu yake ya kidato cha tano yeye akanishauri kuwa anataka...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Nawasalimu kwa jina la BRN....moja kati ya halmashauri ya kiuni ni hii ya Mkuranga..kulikuwa na semina ya walimu iliyokuwa chini ya British council but dakika za mwisho wajanja wamepiga ela na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nafundisha wilaya ya Mufindi shule ya NYOLOLO natafuta mwalimu wa kubadilishana anayefundisha shule yoyote iliyopo wilaya ya Mbozi.idara sekondary.0755814442
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza natoa shukurani kwa serikali iliyofikilia mpango wa kaanzisha shule za kata . Msema kweli tulipata changamoto kubwa katika kusoma kwetu ikiwa shule zilikuwa hazna walimu wa kutosha...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
habari ndugu wana jf,nimemaliza mafunzo ya uuguzi na ukunga ngazi ya cheti na nimeajiriwa serikalini sasa naomba msaada wenu sababu nahitaji ku upgrade ila sina contact ya chuo chochote kizuri...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari tena ndugu zangu Nimekuja kwa mara nyingine tena kwa yeyote mwenye kufahamu mawasiliano ya simu ya mwalim mkuu wa shule ya sekondari kilakala iliyoko mkoani Morogoro. naomba anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…